Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 4,952
- 12,527
Killer wave au monster wave ni wimbi kubwa Sana ambalo urefu wake unakadiriwa kuwa mita 12 mpaka 20.Thank You so much for your elaboration.
More input please on the killer wave.
Hili huwa halina dalili ya kuonyesha litatokea, na hili hutokea baharini hakuna njia ya kulikwepa au kukabiliana nalo.
Endapo itakutana na meli huinyanyua kwa huo urefu na kuitupa upande wa pili hii killer wave husumbua hata meli iwe kubwa kiasi gani.Upelekea kuivunja meli vipande vipande.
Wanasayansi wamefanya tafiti mbalimbali na hawajapata nini chanzo sahihi Cha killer wave. Zaidi ya kutoa uwepo wa upepo mkali au mkondo wenye nguvu ndio zinaweza kupelekea kutokea killer wave.
Killer wave mpaka sasa haina maelezo ya kina hata ajali chache zilizotokea satellite iliporekodi ilionyesha meli ikivutwa juu na wimbi Kisha mabaki ya vipande kuonekana.
Killer wave ni tishio haswa baharini ingawa hutokea Mara chache.