moyafricatz
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 2,905
- 4,939
Semaaa kimeumanaaa
Afadhali..Semaaa kimeumanaaaView attachment 1762223
Mpaka kifike hapa kesho...hakitakua na impact wala spid kubwa.Kawaida vimbunga huwa vinapunguza spidi kadri vinavyokaribia nchi kavu! So si Jambo la kushangaa maana hata hiyo spidi yake ndogo ni hatari sana!
Yote yawezekanaMpaka kifike hapa kesho...hakitakua na impact wala spid kubwa.
Wenye Nchi washafanya yao.
Natural events na wenye nchi, inaingiliana wapi na wapi? 😂Mpaka kifike hapa kesho...hakitakua na impact wala spid kubwa.
Wenye Nchi washafanya yao.
Wakumbushe kuna miti na milima chini ya maji wasije wakakushangaa mkuu! 🤣 🤣 🤣Hapo hamna cha "wenyewe" wala nini. Cyclones commonly hupungua speed zinapokaribia land masses kwakuwa kunakuwa na vizuizi kama miti, milima (vilima) n.k so wind speed haiwezi kuwa maintained ile ile.
Nzige walikula kibanoNakumbuka hata nzige baada ya kuzurura kila kona ya ukanda wa Afrika mashariki walivyotaka kuingia bongo tu wakakutana na kamati ya fitina wakatoka nduki hawana hamu na kambi kama covid19 ilivyotamba duniani kufika hapa tukatambiana
Hope hili litakua somo tosha kwa majanga mengine yajifunze kwamba we are the true Israelites
Cruise ship zipo hazina tabia ya kusimama kila bandari zina timetable kama liner ship. Taarifa za kimbunga melini hufika kwa njia ya email,Satelite,Telex,Navtex na taarifa za mamlaka za hali ya hewa.Hopefully hakuna cruise ships wala yatchs zenye abiria baharini.
Thank You so much for your elaboration.Cruise ship zipo hazina tabia ya kusimama kila bandari zina timetable kama liner ship. Taarifa za kimbunga melini hufika kwa njia ya email,Satelite,Telex,Navtex na taarifa za mamlaka za hali ya hewa.
Meli kama cruise ship wakipata habari huwa huchukua tahadhari kubwa kwa kuhama njia(passage) waliyokuwa wakipita baada ya kujua wapi kitovu Cha kimbunga na safari huendelea kama kawaida.
Baharini tishio ni Rogue wave/Killer wave/Monster wave hilo wimbi mpaka sasa halina dalili ya kuwa linatokea na likitokea hakuna meli inayokuwa salama iwe ndogo au kubwa.