miley
Member
- Aug 2, 2013
- 87
- 14
Kwanini Dar imefurika wahamiaji toka Malawi? kuna nini wanakimbia kuja Tanzania kuja kuchimba mchanga Mbezi Juu na kulala kwenye chumba kimoja watu 20? Serikali ya mtaa inaona lakini wamefumba macho au wana vibali?
Hii italeta shida wakati wa uchaguzi mkuu. Nawaomba wahusika na hili waliangalie kabla shida haijaingia.
Hii italeta shida wakati wa uchaguzi mkuu. Nawaomba wahusika na hili waliangalie kabla shida haijaingia.