Yap! Coz yeye ndio mkuu wa ulinzi wa wilayaNimeangalia pia alivyoitikia salamu ya kijeshi nikabaki najiuliza kumbe hiyo nayo inaruhusiwa!
Huyu afande naye katabasamu ile mbayaaaHii imenivutiaView attachment 826931
Ungesema ni yupi ili tujue cha kumjadili tatizo umetuacha njia panda hujasema ni yupi kati ya haoWaliokula kiapo wapo kibao tu katika siku mbili tatu hizi lakini huyu mmoja amechukua nafasi kwenye media karibu zote!kwa nini iko hivyo nataka kujua tu!
Yupi huyo kuu mi hata simjuaUnamzungumzia mama mdogo wake Jesca au??
wa stendiHii imenivutiaView attachment 826931
umesahau kuwa nimchepuko " WA stone cold"..Waliokula kiapo wapo kibao tu katika siku mbili tatu hizi lakini huyu mmoja amechukua nafasi kwenye media karibu zote!kwa nini iko hivyo nataka kujua tu!