Ni mwezi wa pili sasa nikiwa nchi jirani hapa ukanda wa kusini mwa jangwa la Sahara.
Ukweli pamoja na ratiba tuliyonayo ya siku kuwa busy, haisee upweke bado ni kero inayoninyima kuyafurahia maisha .
Nilijiapiza kuwa mwaminifu hadi ntakaporejea home kwa my sweet baby, ila kadri siku zinavyoenda nahisi nadhiri hii uenda istekelezeke.
Nimemiss kumuona my love akinishika vidole, uku aniangalia usoni akinisemesha vijineno vile.... Bae umenikunja leooooo........kidume hapo self esteem inapaa mpaka mbinguni.
Kadri navyommiss ndivyo nyege zinavyoninogesha.... Bad thing mtaa tuliobase huku tunalazimika kupata vyakula sehemu za public zenye kila aina ya uumbaji wa Mungu...... Najua mmenielewa
Ni hayo tu wakuu *******
Hebu tushirikiane kupeana uzoefu kwenye hali kama hizi , mliwezaje kulejea salama home bila kuvunja viapo
Ladies ushauri wenu pia utanisaidia ku-nevigate in this situation
# upweke unabore ile mbaya #
Ukweli pamoja na ratiba tuliyonayo ya siku kuwa busy, haisee upweke bado ni kero inayoninyima kuyafurahia maisha .
Nilijiapiza kuwa mwaminifu hadi ntakaporejea home kwa my sweet baby, ila kadri siku zinavyoenda nahisi nadhiri hii uenda istekelezeke.
Nimemiss kumuona my love akinishika vidole, uku aniangalia usoni akinisemesha vijineno vile.... Bae umenikunja leooooo........kidume hapo self esteem inapaa mpaka mbinguni.
Kadri navyommiss ndivyo nyege zinavyoninogesha.... Bad thing mtaa tuliobase huku tunalazimika kupata vyakula sehemu za public zenye kila aina ya uumbaji wa Mungu...... Najua mmenielewa
Ni hayo tu wakuu *******
Hebu tushirikiane kupeana uzoefu kwenye hali kama hizi , mliwezaje kulejea salama home bila kuvunja viapo
Ladies ushauri wenu pia utanisaidia ku-nevigate in this situation
# upweke unabore ile mbaya #
