Jesuitdon
JF-Expert Member
- Dec 18, 2018
- 3,154
- 2,657
UpngoHakuna app isiyotumia data.
Tinder imenipa demu mkali sanaaaaaa
UpngoHakuna app isiyotumia data.
Tinder imenipa demu mkali sanaaaaaa
Weka full storyMimi nakuelewa mkuu nilipata bonge la demu huko tinder japo tumeachana
Full storyMkuu
Nakumbuka nilikutana na dem wa chuo cha ushirika huko tinder.. alikuwa mgeni wa hiyo tinder..tulipanga tuka meet na nikaja kula tunda..yan dince day one hakuwahi kuzungumzia hela yaani hakutakaga hata 100
Since then we are ..... na ni dem mxuri balaa
Rafiki yake nfo alimshawish kujiunga tinder kutafuta chatting friends
Full storyScenario yako ipo kama yangu.
Huyo wa kwangu nadhani ameshahifuta kule kwa sababu alikuwa mgeni kule tinder pia akitafuta marafiki. Na demu ana mpunga mrefu ni balaa
Tupia picha mkuu tumhakiki manziHakuna app isiyotumia data.
Tinder imenipa demu mkali sanaaaaaa
HatareEscort ni sex worker tu anaweza kuwa mwanaume au mwanamke. Hao wa escort nadhani wengi wanajiuza kwa wageni, actually ni malaya first class. Ingia Escorts Tanzania - Exotic Tanzania Premium Verified Escorts & Hookups. kwa VPN maana umefungiwa tanzania uone maajabu ya karne. Mpaka utajiuliza mwenyewe hivi hawa wanajiuza kwasababu gani
Huku mtafutaScenario zenu ni kama wengi tu niliowaona wanapakua Tantan. Mwanzoni ilionekana kama app ya kuchat wakaanza kushangaa mbona wanatongozwa tu afu wanachat na wanaume pekee.
Na kuna mmoja alikuwa na sikumbuki Badoo au Tinder hajui kama ni dating app akaweka picha yake halisi. Kuna uzi humu niliona wanamtaja manzi mmoja napishana nae cafeteria na picha waloweka ni location flani pale nikapakua app kuhakikisha ni yeye. Kwanza naishi karibu yake ile kutafuta nearby alikuwepo karibu zaidi