Me nakushauri uende hospital ukapatiwe matibabu inaweza ikawa kweli imeharibika au umepata tu complication za mimba bado ipo wahi hospital mapema kuna dada mmoja naye alikuwa na ujauzito wa miezi 2 alibreed wiki mbili ikaonekana anafanya kazi nzito ikabidi apewe bedrest
Kwani huko nyuma ulikuwa huoni siku zako? Ina maana ulikuwa umekufa na leo ndiyo umefufuka? Shida yawezekana ulikuwa umetekwa na shetani na cha kufanya kila siku zishikilie hizo siku zako na zisikudondoke.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.