Mtwara inakuja kwa speed kubwa sana,siyo ya siku zile tena...itafunika mikoa mingi tu muda si mref...just a matter of time.
Unazungumzia hapo Mtwara mjini? Nenda huko vijijini mkuu huwezi amini kama uko Tanzania.Umasikini unatisha!
Mtwara inakuja kwa speed kubwa sana,siyo ya siku zile tena...itafunika mikoa mingi tu muda si mref...just a matter of time.
Tz hakuna sehemu ambako ni hafadhari ndo mana ktk majiji 200 bora hakuna jiji 1 la Tz musijipe moyo na dar,arusha na mwanza yote ni hovyohovyo tembeeni muone miji watu ilivyo
Kagera