Naungana na wewe katika hili!!
Nilikua sijatembelea mikoa ya kusini. Ni majuzi tu nilipata safari ya kutembelea Lindi na Mtwara,,,
Sikuamini macho yangu nilipofika Lindi mjini,,,da,,yaani pamechoka balaa,,hadi nikawa nauliza mara mbili mbili,,jamani hapa ndio Lindi?
Mtwara afadhali kidogo kuliko lindi,,japo na penyewe ni choka tu,,,hiyo mikindani inayovuma kihistoria,,panasikitisha,,,nyumba zimeshoka kinoma,,,aisee!!