Clarity JF-Expert Member Jul 6, 2010 1,587 2,102 May 29, 2019 #41 Ni plastic na haiozi na ikitokea imemezwa na mnyama ina madhara kama mifuko mingine Mung Chris said: plastiki au sio plastiki Click to expand...
Ni plastic na haiozi na ikitokea imemezwa na mnyama ina madhara kama mifuko mingine Mung Chris said: plastiki au sio plastiki Click to expand...
NostradamusEstrademe JF-Expert Member Jul 1, 2017 3,032 4,028 May 29, 2019 #42 Condom sio plastic ni rubber zinatengenezwa kwa kutumia polyurethane au polyisoprene. Huwa zina decompose haraka
Condom sio plastic ni rubber zinatengenezwa kwa kutumia polyurethane au polyisoprene. Huwa zina decompose haraka
nsanzu JF-Expert Member Jul 29, 2015 4,390 4,822 May 29, 2019 #43 Hivi Mpira na Plastiki ni sawa eeeh!? Hawa ndio wasomi tunaowategemea katika jamii yetu watuondoe ujinga sisi Mangumbaru
Hivi Mpira na Plastiki ni sawa eeeh!? Hawa ndio wasomi tunaowategemea katika jamii yetu watuondoe ujinga sisi Mangumbaru
Mfamaji JF-Expert Member Nov 6, 2007 6,631 1,926 May 29, 2019 #44 fimboyaasali said: sikia kwa makini wamekataza mifuko ya plastiki,lakini hawajakataza vifungashio vya plastiki,hivyo wametenga maeneo ambayo kila mwenye mabaki ya vifungashio au mifuko ya plastiki,wapeleke hapo kwa ajili ya kuteketezwa Click to expand... SOMA KANUNI ZAKE KWANZA
fimboyaasali said: sikia kwa makini wamekataza mifuko ya plastiki,lakini hawajakataza vifungashio vya plastiki,hivyo wametenga maeneo ambayo kila mwenye mabaki ya vifungashio au mifuko ya plastiki,wapeleke hapo kwa ajili ya kuteketezwa Click to expand... SOMA KANUNI ZAKE KWANZA
sab JF-Expert Member Jan 25, 2013 5,718 4,252 May 29, 2019 #45 Hii kitu nayo siku hizi mbona haipatokani kabisa