Arushaone
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 15,235
- 13,539
Hiyo mbona ipo?Mmmh it sound like a joke...
[MENTION=85218]nassa[/MENTION] hivi unajua umejiaibisha sana kwa kulalamikia vijisenti kidogo hivyo? Ni vile tu sijui kama wewe ni ME au KE. The reality is hakuna mtu asiyependa 'kampani' so unapopewa card jua hata aliyekupa amependa kampani yako. FYI umekosea sana.
mie leo nimepewa kali ya mwaka. Kuna binamu yangu aliniambia last month kuwa bintiye anapata kipaimara. Nikamuambia poa. Leo ananiambia unajua wewe ndio Godmother wake? Kidogo nizimie. Manake hapo kuna blackmail ya kununua nguo ya mtoto (traditionally ndo inakuwaga kazi ya godmother), na bado kwenda manake anakaa mbali karibia na mbinguni! Nimechoka manake kiddo mwenyewe sijawahi kummeet, naskia alibatizwa hospitali ati nikaandikwa mie!
Maskini wa leo,
Ndie tajiri wa kesho.
Hubby mzima?