Mkubwa mbona hayo mambo ndio ulevi wangu? Napita pale round about michenzani kuna jamaa anawatengeneza vizuri ana pilipili yake sijui anaweka malimau? (Hii itabidi nimuulize farkhina) Pembeni kuna juice ya miwa ni hatari.
Mkubwa mbona hayo mambo ndio ulevi wangu? Napita pale round about michenzani kuna jamaa anawatengeneza vizuri ana pilipili yake sijui anaweka malimau? (Hii itabidi nimuulize farkhina) Pembeni kuna juice ya miwa ni hatari.
Tatizo lake ni kukausha pesa mfukoni, yaani inachoma stick unaweka mdomo, unedlea tu, unaendelea tu, ukimwuliza sh ngapi unaambiwa 2,000/= ilhali hata kushiba hujashiba !!
Tatizo lake ni kukausha pesa mfukoni, yaani inachoma stick unaweka mdomo, unedlea tu, unaendelea tu, ukimwuliza sh ngapi unaambiwa 2,000/= ilhali hata kushiba hujashiba !!