Hii makitu acha kabisa

Unapata na sugarcane juice acha kabisa masopakyindi

Mkubwa mbona hayo mambo ndio ulevi wangu? Napita pale round about michenzani kuna jamaa anawatengeneza vizuri ana pilipili yake sijui anaweka malimau? (Hii itabidi nimuulize farkhina) Pembeni kuna juice ya miwa ni hatari.
 
Last edited by a moderator:
Mkubwa mbona hayo mambo ndio ulevi wangu? Napita pale round about michenzani kuna jamaa anawatengeneza vizuri ana pilipili yake sijui anaweka malimau? (Hii itabidi nimuulize farkhina) Pembeni kuna juice ya miwa ni hatari.

Bonge la remedy asikudanganye mtu.....!!! SAMUNGE LA ukweli kabisaa huna hata haja kwenda loliondo
 
Last edited by a moderator:
mambo ya foro alafu unaweka na ile zanzibar pizza
 
kitu cha pweza na mchuzi wake.......balaaa.....
 
Tatizo lake ni kukausha pesa mfukoni, yaani inachoma stick unaweka mdomo, unedlea tu, unaendelea tu, ukimwuliza sh ngapi unaambiwa 2,000/= ilhali hata kushiba hujashiba !!
 
Tatizo lake ni kukausha pesa mfukoni, yaani inachoma stick unaweka mdomo, unedlea tu, unaendelea tu, ukimwuliza sh ngapi unaambiwa 2,000/= ilhali hata kushiba hujashiba !!

we denti?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…