Mediocrist
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 1,709
- 994
Hata ikiwa hivyo so mbaya nisaidie mkuu nitafute ipi?kwa mpya hupati ila used unapata
Hata ikiwa hivyo so mbaya nisaidie mkuu nitafute ipi?kwa mpya hupati ila used unapata
Lenovo Thinkpad T460. Dar es Salaam 800306 | KupatanaHata ikiwa hivyo so mbaya nisaidie mkuu nitafute ipi?
Kashaiuza mkuuLenovo Thinkpad T460. Dar es Salaam 800306 | Kupatana
mcheki huyo kama hajauza.
laptop yoyote ya core i3/i5/i7 kuanzia generation ya 4, 5 hadi 6 inafaa matumizi yako
sijaelewa ni ananunua mpya au usedHiyo akupe Kwa 650000 au 700000
Chukuwa kitu hicho kwa 1M ni poa kabisa! 1TB HDD & 8GB RAM!!Brand : HP 15-ac032TX Notebook (M9V12PA) Rangi ya Silver
PROCESSOR : 5th Gen Intel Core i3,procesor inaishia na 'U'
RAM : 8GB RAM
HDD :1TB
Window 10 2GB graphics
Jamaa anataka nimpe 1.2Mil,nimemshusha mpaka 1M naona anakubali...Vipi hapo jamani bei ipo sawa au nimepigwa? ni brand new ameitoka nayo Dubai.
cc Chief-Mkwawa