Hii laptop itakuwa imekufa?

Toka wiki iliyopita inakuwa ivo nkiwasha
 
Hard disk imechomoka/lewa , irudishie kwenye terminal zake kama IPO. Kisha washa hiyo PC.
 
Laptop haijafa mkuu nizima kabisa tatizo la laptop yako ni harddisk ni tatizo la kawaida sana kwa laptop za sasa hivi hasa kwa mnao penda sana kutizama moviea kupitia laptop ,harddisk za sasa hivi ni mbovu sana ,

Cha kufanya hapo huwa ni kudeal na hdd jaribu kuitoa halafu ichomeke tena vizuri kwa umakini kama unaweza kufanya hivyo lakin , ukiona haija saidia jaribu kuweka cd ya OS kisha fanya kama unaingiza OS upya kama ni windows au linux then uone kama harddisk inaoineka kupitia os instalation , kama inaonekana piga os upya kama najo haionekani badi badirisha hiyo HDD weka mpya maisha yataendelea,

ANGALIZO: kama sio Expert mtafute mtaalamu akufanyie hayo nlio kuelekeza hapo.
 
Asantee mkuuu
 
Harmorapa kiboko ya mabishoo, VP imewaka?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…