Hii kitu ina ukweli au ndio meseji tu?

Hii kitu ina ukweli au ndio meseji tu?

kunguni wa ulaya

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2014
Posts
4,131
Reaction score
6,125
Habari zilizotufikia hivi punde. Mtanzania yeyote: kaa makini usiokote kitu chochote ambacho una mashaka nacho, kuna bomu zimerushwa toka nchi jirani Malawi/Rwanda zaidi ya 30 zenye uzito usiopungua tani 100. Hivyo basi uonapo kitu kipo kama chupa la chai chenye rangi ya fedha "usikiguse" piga namba 0756000042. SMS hii tuma kwa watu uwezavyo: Imetolewa na JWTZ/ LSL5CAMRM: Asante. JAMBO HILI USILICHUKULIE UTANI KAMA MESEJI ZINGINE ZA UTANI MNAZOTUMIANA !forwarded as received
 
Tani 100? Hicho kitu ni kikubwa sana ambacho sio rahisi kuokotwa na mtu kwa maana hata kg 50 sio rahisi kuokotwa.

Hata mimi nilijiuliza hvyo hivyo.sasa huyu aliyeanzisha hii meseji inayosambaa ana maana gani sasa?
 
Hata mimi nilijiuliza hvyo hivyo.sasa huyu aliyeanzisha hii meseji inayosambaa ana maana gani sasa?

Tani 100? Hicho kitu ni kikubwa sana ambacho sio rahisi kuokotwa na mtu kwa maana hata kg 50 sio rahisi kuokotwa.

Hapana. Anamaanisha kuwa japo bomu ni dogo kiasi hata cha kutofikia ukubwa wa ngumi, lakini mlipuko wake ukitokea una madhara yanayoweza kulingana na kitu chenye ukubwa wa tani 100!
 
Habari zilizotufikia hivi punde. Mtanzania yeyote: kaa makini usiokote kitu chochote ambacho una mashaka nacho, kuna bomu zimerushwa toka nchi jirani Malawi/Rwanda zaidi ya 30 zenye uzito usiopungua tani 100. Hivyo basi uonapo kitu kipo kama chupa la chai chenye rangi ya fedha "usikiguse" piga namba 0756000042. SMS hii tuma kwa watu uwezavyo: Imetolewa na JWTZ/ LSL5CAMRM: Asante. JAMBO HILI USILICHUKULIE UTANI KAMA MESEJI ZINGINE ZA UTANI MNAZOTUMIANA !forwarded as received

Zaidi ya 30, tufanye 50 kabisa. Kama total ni tani 100 maana kila kimoja kina tani 2! Tumeambiwa usiokote...unaokota tani 2 duh!!!!!!!!!!!
Na hiko kitu chenye ukubwa wa chupa ya chai chenye tani 2 hata sikipatii picha!!
 
Hapana. Anamaanisha kuwa japo bomu ni dogo kiasi hata cha kutofikia ukubwa wa ngumi, lakini mlipuko wake ukitokea una madhara yanayoweza kulingana na kitu chenye ukubwa wa tani 100!
Na ukisoma thread yake amesema kina ukubwa kama. Hupa ya chai. Sasa kuna mtu anaweza kushindwa kuokota chupa ya chai?
 
Habari zilizotufikia hivi punde. Mtanzania yeyote: kaa makini usiokote kitu chochote ambacho una mashaka nacho, kuna bomu zimerushwa toka nchi jirani Malawi/Rwanda zaidi ya 30 zenye uzito usiopungua tani 100. Hivyo basi uonapo kitu kipo kama chupa la chai chenye rangi ya fedha "usikiguse" piga namba 0756000042. SMS hii tuma kwa watu uwezavyo: Imetolewa na JWTZ/ LSL5CAMRM: Asante. JAMBO HILI USILICHUKULIE UTANI KAMA MESEJI ZINGINE ZA UTANI MNAZOTUMIANA !forwarded as received

Hahaa imejirudia hakuna kitu kama hicho ni mbinu moja wapo ya mitandao kujiingizia hela tu usiogopee
 
Hahaa imejirudia hakuna kitu kama hicho ni mbinu moja wapo ya mitandao kujiingizia hela tu usiogopee

Sidhani kama m2 mwenye akili zake timamu anaweza akakubalia n hiki k2, kwan tani 100 jaman co mchezo halafu anasema n kama chupa ya chai, duuuu... inaelekea mnatuona ss n mabwege sn wa kuamni vtu vya kijinga kijinga.
 
Sidhani kama m2 mwenye akili zake timamu anaweza akakubalia n hiki k2, kwan tani 100 jaman co mchezo halafu anasema n kama chupa ya chai, duuuu... inaelekea mnatuona ss n mabwege sn wa kuamni vtu vya kijinga kijinga.

ujumbe kama huu uliwai kuzagaa hapo kabla, hali iliyopelekea jwtz kutoa tamko kwa kukanusha habari hizi. lakini kwa akili ya kawaida tu ya kuvukia barabara. kweli mtu unaamini jeshi lingetakiwa kushughulikia jambo nyeti hili kwa kutuma sms?
 
ujumbe kama huu uliwai kuzagaa hapo kabla, hali iliyopelekea jwtz kutoa tamko kwa kukanusha habari hizi. lakini kwa akili ya kawaida tu ya kuvukia barabara. kweli mtu unaamini jeshi lingetakiwa kushughulikia jambo nyeti hili kwa kutuma sms?

N kweli kabsa coz hili n jambo kubwa sn, so cdhani kama wange2mia sms hutoa tahadhari kwa taifa
 
Kwamba serikali kwa jambo kama hili inajibu kwa kuwatumia wananchi wake sms?
 
Tupeni tu hizo chupa zenu za chai, sisi wa uswazi tutaziokota kama kawaida. Tangu lini mkubwa akatishiwa nyau?
 
Hapana. Anamaanisha kuwa japo bomu ni dogo kiasi hata cha kutofikia ukubwa wa ngumi, lakini mlipuko wake ukitokea una madhara yanayoweza kulingana na kitu chenye ukubwa wa tani 100!

Acha kudanganya watu, ni wapi amesema hivyo?
 
Hapana. Anamaanisha kuwa japo bomu ni dogo kiasi hata cha kutofikia ukubwa wa ngumi, lakini mlipuko wake ukitokea una madhara yanayoweza kulingana na kitu chenye ukubwa wa tani 100!
'The Little Boy' Hiroshima bomb lilikuwa na Kg 4,400.
 
Tani moja tu sawa na ujazo wa pick up Sasa hizo mia utaziokotaje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom