Castle_Lite
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 4,505
- 9,966
Gentleman,Nawaza tu.
2030 kamati kuu wamfanyie Figisu Imma, asiorodheshwe kwenye 5 bora ya watia nia nafasi ya Uraisi.
Alaf Imma akaamua kwenda Chadema.
Mind you Lissu pia yuko Huru.
Huo Mtanange wake utakuwa sio wa kitoto.π₯π₯π₯π₯
Yale ya 2015 yatajirudia.
Anyway . Haiwez kutokea hili.
NB:
Tumeona waliokuwa wana nia ya kugombea alaf wakakatwa na CCM na Chadema walihamia Chauma na ACT
Ref Mpina na Salum Mwalimu.
Kosa la kipuuzi walilofanya cdm 2015 la kumpokea Lowassa kizembe halitarudiwa tena.Nawaza tu.
2030 kamati kuu wamfanyie Figisu Imma, asiorodheshwe kwenye 5 bora ya watia nia nafasi ya Uraisi.
Alaf Imma akaamua kwenda Chadema.
Mind you Lissu pia yuko Huru.
Huo Mtanange wake utakuwa sio wa kitoto.π₯π₯π₯π₯
Yale ya 2015 yatajirudia.
Anyway . Haiwez kutokea hili.
NB:
Tumeona waliokuwa wana nia ya kugombea alaf wakakatwa na CCM na Chadema walihamia Chauma na ACT
Ref Mpina na Salum Mwalimu.