Hii kisayansi tunaiitaje

Hii kisayansi tunaiitaje

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
359,928
Reaction score
828,569
Mwenye picha aliibuka kupinga, sasa aliyetajwa Prof Ndashau amekana huyo sio yeye 😃😃😄
1744586197114.jpg

Comments ziwe fupifupi
 
Lwaitama hawezi kumjua, masomo ya Lwaitama ni social science.... wako mbalimbali sana. Na akili ya Lwaitama ni kama ya mtu aliyechanganyikiwa baada ya mke kumkimbia na familia yale kusambaratika. Kisa? Vianafunzi

Hata watoto wake alikuwa anawagawia hela kila mtu akale magengeni, the man didnt raise a family, ndicho kinamgharimu
 
Lwaitama hawezi kumjua, masomo ya Lwaitama ni social science.... wako mbalimbali sana. Na akili ya Lwaitama ni kama ya mtu aliyechanganyikiwa baada ya mke kumkimbia na familia yale kusambaratika. Kisa? Vianafunzi

Hata watoto wake alikuwa anawagawia hela kila mtu akale magengeni, the man didnt raise a family, ndicho kinamgharimu
Personal life ya mtu inahusikaje hapa?
 
Lwaitama hawezi kumjua, masomo ya Lwaitama ni social science.... wako mbalimbali sana. Na akili ya Lwaitama ni kama ya mtu aliyechanganyikiwa baada ya mke kumkimbia na familia yale kusambaratika. Kisa? Vianafunzi

Hata watoto wake alikuwa anawagawia hela kila mtu akale magengeni, the man didnt raise a family, ndicho kinamgharimu
Unaona ulivo nyumbu
Mambo ya familia yake unaingiza kwenye siasa fisiem mkiishiwa hoja mnakimbilia ku muattack mtu

Wewe mbona ni shoga na watu hawakusemi??
 
Lwaitama hawezi kumjua, masomo ya Lwaitama ni social science.... wako mbalimbali sana. Na akili ya Lwaitama ni kama ya mtu aliyechanganyikiwa baada ya mke kumkimbia na familia yale kusambaratika. Kisa? Vianafunzi

Hata watoto wake alikuwa anawagawia hela kila mtu akale magengeni, the man didnt raise a family, ndicho kinamgharimu


Ongea mambo yenye mantiki Mkuu .

Achana na Maisha binafsi ya watu
 
Lwaitama hawezi kumjua, masomo ya Lwaitama ni social science.... wako mbalimbali sana. Na akili ya Lwaitama ni kama ya mtu aliyechanganyikiwa baada ya mke kumkimbia na familia yale kusambaratika. Kisa? Vianafunzi

Hata watoto wake alikuwa anawagawia hela kila mtu akale magengeni, the man didnt raise a family, ndicho kinamgharimu
Ongelea hoja
 
Lwaitama hawezi kumjua, masomo ya Lwaitama ni social science.... wako mbalimbali sana. Na akili ya Lwaitama ni kama ya mtu aliyechanganyikiwa baada ya mke kumkimbia na familia yale kusambaratika. Kisa? Vianafunzi

Hata watoto wake alikuwa anawagawia hela kila mtu akale magengeni, the man didnt raise a family, ndicho kinamgharimu
Mkuu chomoa kisiende chote... unamshambulia mtu kwa mada tofauti kabisa.. kwanini usijibu hoja tu bila personal attack. Kama ni muongo useme tu
 
Lwaitama hawezi kumjua, masomo ya Lwaitama ni social science.... wako mbalimbali sana. Na akili ya Lwaitama ni kama ya mtu aliyechanganyikiwa baada ya mke kumkimbia na familia yale kusambaratika. Kisa? Vianafunzi

Hata watoto wake alikuwa anawagawia hela kila mtu akale magengeni, the man didnt raise a family, ndicho kinamgharimu
Huu ni umbeya sasa, tunza siri za watu basi hasa pale unapoona hazijengi.
 
Lwaitama hawezi kumjua, masomo ya Lwaitama ni social science.... wako mbalimbali sana. Na akili ya Lwaitama ni kama ya mtu aliyechanganyikiwa baada ya mke kumkimbia na familia yale kusambaratika. Kisa? Vianafunzi

Hata watoto wake alikuwa anawagawia hela kila mtu akale magengeni, the man didnt raise a family, ndicho kinamgharimu
Inawezekana na wewe ulikuwa kimada wake maana unajua sana mambo yake.
 
Siielewi purport ya hii post
Yaani kuna mtu anatengeneza AI photos au vipi?
JE, NANI KAONGOPA KATI YA DKT. MWIGULU, DKT. LWAITAMA AU PROF. NDANSHAU?

Picha imevuja mitandaoni! Vijana wanasema kuwa huyo aliyevaa shati ya kijani na kofia ya njano ni Ramadhani Kailma, Mkurugenzi wa Tume ya Huru ya Taifa ya Uchaguzi. Ila vijana wanadai kuwa huyu Kailima ni CCM lialia kama mavazi yake yanavyothibitisha na ndio maana akateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Tume ambayo itasimamia uchaguzi na kumtangaza mshindi wa Kiti cha Urais!

Ghafla kaibuka Mhe. Mwigulu Nchemba kupitia ukurasa wake wa Twita. Kakanusha na kusema kuwa huyo sio Ramadhani Kailima, bali ni Prof. Michael Ndanshau wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na kuwa alikuwa ni mwalimu wake wa uchumi. Mwigulu anahitimisha kwa kuwataka watu waipuuze taarifa kuwa huyo ni Kailima!

Anaibuka Dkt. Azaveli Lwaitama ambaye pia alifundusha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kwa muda mrefu. Dkt Lwaitama anasema kuwa Prof. Ndanshau ni rafiki yake, hivyo amempigia simu kumuuliza kama kweli picha hiyo ni yake kama alivyodai Mwigulu.

Kwa mujibu wa Dkt. Lwaitama, Prof. Ndanshau ameikana picha hiyo na kuwa hakuwahi kupiga picha kama hiyo. Kwa maneno mengine, Prof. Ndanshau hakuwahi kupiga picha na Mwigulu ya aina hiyo!

Ninawafahamu wote wawili - Dkt. Lwaitama na Dkt. Mwigulu. Wote wawili tulifahamiana nao katika mazingira ya kikazi. Nakiri kuwa siwezi kusema nawajua zaidi tabia zao kwa maana sijawahi kusoma nao wala kufanya nao kazi ya kudumu zaidi ya kukutana vikaoni. Angalau Dkt Lwaitama tuliwahi kulala wote mahabusu kwa masaa zaidi ya 30 kule Butimba, Mwanza. Hii haitoshi kusema namjua fika!

Lakini nakiri kuwa simfahamu Prof. Ndanshau ingawa nimewahi kumsikia. Lakini kama ndio yule aliyekuwa Naibu Makamu Mkuu wa Chuo (Taaluma au Utawala) katika Chuo Kikuu wakati huo TUDACO, huyo nimewahi kuongea naye ili kutatua tatizo la mwanachuo mmoja miaka 3 iliyopita. Kupitia mazungumzo yetu, alionekana kuwa mtu mwadilifu kwani alitoa ushirikiano wa hali ya juu sana. Mwigulu tumekutana naye kwenye vikao vya kiitifaki na hata kiibada, hivyo siwezi kusema kuwa ninamjua zaidi. Wote hao wawili kuna idara ya heshima tunazopeana!

Lakini katika hili haiwezekani wote wakasema ukweli. Ni lazima mmojawao kaongopa au kwa Kinyakyusa cha Kyela, 'alumile inongwa'! Je, ni nani anaongopa kati yao? Lakini, ni kwa nini pia aongope? Na aongope kwa maslahi ya nani? Je huyo Prof. Ndanshau yuko wapi? Je, ni kweli picha hiyo ni ya Prof. Ndanshau lakini kuamua kumdanganya rafiki yake Dkt. Lwaitama? Lakini afanye hivyo ili iweje? Je, Anaweza kujitokeza ili aukate mzizi wa fitina? Je, unajua pia kuwa mjadala huu unabeba maslahi mapana yaliyo ya kitaifa? Unafikiri kwa nini unabeba maslahi?
Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Dar es Salaam, 14 Aprili 2025; saa 6:40 usiku
1744625082857.jpg
 
Back
Top Bottom