kindikwili
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 1,862
- 2,871
Mkuu unadhani Nape anachukiwa na wapinzani? Hakuna wa kumchukia hayo matendo yake tayari kashalipwa na dunia. Dunia itamlipa sawasawa na matendo yake.Nape akihamia CHADEMA, watamwona bonge la mtu na watasahau mipasho ya kikekike aliyoitoa Nape kipindi akiwa Mwenezi. Halafu alivyo wa ajabu alilalamika kuonewa na Serikali akidai ameitoa CCM shimoni. Sasa unajiuliza, Hivi ni akina Nani walioiingiza shimoni? Walianza lini kuiingiza shimoni?