hii kali

hii kali

Meza ilikuwa na uzito gani? Hadi ashindwe kunyanyua anatakiwa kufungwa miezi6 na fimbo nane 4 siku anaingia na kutoka
 
Hahha huyo jamaa noma

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Ha ha ha ha ha haaah teh teh teh teh teh teh teeeh! angeniita nimsaidie kubeba hiyo meza amtandike nayo!
 
Tcha!` tchafya haahhahhahaha!hihihhhii uuuuuuuuuuuuuwi!
 
jamaa kashtakiwa kwa kosa la kumpiga mke wake
hakimu: kwanini ulimpiga mke wako na stuli?
jamaa: kwasababu nilishindwa kunyanyua meza...

Ha ha ha haa haaaa nimecheka sana sana lol

 
Mtoto:et kwani we n babaangu?
Baba:ndio,kwann umeulza hvyo?
Mtoto:kwan babaangu c analala na mama?
Baba:ndio
mtoto:mbona mnanichanganya?kwa hyo babaangu ni wewe,ba fatu,ba eliza,ba asha,ba esta au ba jack?
Baba:....@€{~&¥**??!
 
halahala mke angenyanyua meza kistuli chake kisingeona ndani
 
Mtoto:et kwani we n babaangu?
Baba:ndio,kwann umeulza hvyo?
Mtoto:kwan babaangu c analala na mama?
Baba:ndio
mtoto:mbona mnanichanganya?kwa hyo babaangu ni wewe,ba fatu,ba eliza,ba asha,ba esta au ba jack?
Baba:....@€{~&¥**??!

aha ha haa!Dawa ya meno!
 
Back
Top Bottom