Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu sahihi litapatikana mahakamani kwa kuleta mashahidi walioshuhudia tukio. Wakati huo uchaguzi wa Igunga utakuwa umepita na watanzania watakuwa wanaendelea na shughuri zao kama kawaida huku mfumko wa bei ukiwatesa ile mbaya. Wataalamu wa uchumi wataendelea kutabiri hali nzuri ya uchumi baada ya miaka 100 ijayo baada ya nchi yetu kuanza kutumia chanzo kipya cha umeme cha NUKILIA kule Makete.Katika historia ya dunia nimesikia kwa mara ya kwanza kwamba mtu alitaka kubakwa hadharani mbele ya watendaji Wa kata makatibi kata mabalozi Wa nyumba kumi, katika hili je ni kweli au DC kadanganya? Yawezekanaje kutokea kitu Kama hicho hadharani?
Mkuu sijaipata hii kuna mpango wa kuzalisha umeme wa nyukia huko Makete ?Jibu sahihi litapatikana mahakamani kwa kuleta mashahidi walioshuhudia tukio. Wakati huo uchaguzi wa Igunga utakuwa umepita na watanzania watakuwa wanaendelea na shughuri zao kama kawaida huku mfumko wa bei ukiwatesa ile mbaya. Wataalamu wa uchumi wataendelea kutabiri hali nzuri ya uchumi baada ya miaka 100 ijayo baada ya nchi yetu kuanza kutumia chanzo kipya cha umeme cha NUKILIA kule Makete.
Si ndio mipango hewa ya watawala wetu ktk nchi hii. Utawasikia, oh tupo kwenye mchakato, mara oh upembuzi yakinifu unaendelea au oh tunamtafuta mbia wa kuzalisha umeme wa mawimbi ya kisima, mara oh uchunguzi unaonyesha kinyesi cha nguruwe kinaweza kutoa megawati 200 za umeme na blabla kibao.Mkuu sijaipata hii kuna mpango wa kuzalisha umeme wa nyukia huko Makete ?
Kuzalisha umeme wa nyuklilia? hata ndoto za alinacha ni afadhaliMkuu sijaipata hii kuna mpango wa kuzalisha umeme wa nyukia huko Makete ?
<br /><font size="4"><font color="#0000cd"><b>Mkuu sijaipata hii kuna mpango wa kuzalisha umeme wa nyukia huko Makete ?</b></font></font>
<br />Katika historia ya dunia nimesikia kwa mara ya kwanza kwamba mtu alitaka kubakwa hadharani mbele ya watendaji Wa kata makatibi kata mabalozi Wa nyumba kumi, katika hili je ni kweli au DC kadanganya? Yawezekanaje kutokea kitu Kama hicho hadharani?
<br /><br />Si ndio mipango hewa ya watawala wetu ktk nchi hii. Utawasikia, oh tupo kwenye mchakato, mara oh upembuzi yakinifu unaendelea au oh tunamtafuta mbia wa kuzalisha umeme wa mawimbi ya kisima, mara oh uchunguzi unaonyesha kinyesi cha nguruwe kinaweza kutoa megawati 200 za umeme na blabla kibao.
<br /><br /><br />
<br /><br />
Kenge gani atakaye zalisha huo umeme kama wa maji na makaa ya mawe umewashinda.
<br /><br /><br />
<br /><br />
Kenge gani atakaye zalisha huo umeme kama wa maji na makaa ya mawe umewashinda.
<br />Alitaka kubwakwa au alibakwa? Nadhani angesema amebakwa ingependeza zaidi. Halafu ni meshangaa huyu mama mzima hivyo eti anaitwa ms inamaana hana hata mme nini?
Si ndio mipango hewa ya watawala wetu ktk nchi hii. Utawasikia, oh tupo kwenye mchakato, mara oh upembuzi yakinifu unaendelea au oh tunamtafuta mbia wa kuzalisha umeme wa mawimbi ya kisima, mara oh uchunguzi unaonyesha kinyesi cha nguruwe kinaweza kutoa megawati 200 za umeme na blabla kibao.