Mtukutu Mkuu
JF-Expert Member
- Jul 10, 2022
- 914
- 1,130
Baada ya kujishauri nichukue Aina IPi ya radio Kati ya Anker na JBL Nikaona wacha nivute JBL ni unyama mno Basi majuzi nikaingia mjini kununua redio brand za JBL Hawa jamaa redio zao zinapiga mziki mno Ila bei zao s zimechangamka Kidogo lakini ukinunua hutojutia Ukiweka blues ndo utalala kabisa
Zipo Aina Ila kulingana na uchumi nikachukua flip 5 asee inapiga ndani ya maji balaa Kilichonivutia inatoa base nzuri na inapiga mziki uliochujika yaani kama kuna instrumental unazisikia yaani inshort hii ni Home theatre portable Na jamaa walioniuzia ni OG yaani ukisiliza Ngoma utajua ni og ama fake
Flip 5 price ni 250000Tsh
Kuna namna nyingine za kutambua kama fake au OG next nitaleta tips kugundua Hilo
#Jblharmankador
Zipo Aina Ila kulingana na uchumi nikachukua flip 5 asee inapiga ndani ya maji balaa Kilichonivutia inatoa base nzuri na inapiga mziki uliochujika yaani kama kuna instrumental unazisikia yaani inshort hii ni Home theatre portable Na jamaa walioniuzia ni OG yaani ukisiliza Ngoma utajua ni og ama fake
Flip 5 price ni 250000Tsh
Kuna namna nyingine za kutambua kama fake au OG next nitaleta tips kugundua Hilo
#Jblharmankador