Hii itawauma wengi

Tena watu kama hao unakuta anapata tubinti tuzuri tu na unakuta ana watoto hata watatu au wanne kila mmoja ana mama yake, unabaki unashangaa wewe mchapa kazi mpaka miaka 30 bado huna mtoto hata mmoja na hujapata hata rafiki wa maana
Mkuu hata ndoa za watu! hawa jamaa baadhi ni waharibufu sana hasa kwa wale ambao Mungu kawajalia wazazi wao kujenga nyumba za wapangaji na wanishi nao kwenye compound moja!
 
Kuishi home sio utoto kama hujaoa , na wazazi wako hawaishi hapo.kuna familia zingine wana nyumba nyingi so mleta mada acha chuki,tuache tukae home
 
Nilitamani ungeacknowledge the source. Nimeisoma mahali. Ni nzuri.
 
Yeye kukaa kwao na kula hela za Wazazi wake wewe unaumizwa na nini?

Waafrika tuache tabia za kimaskini za kuona anayeishi nyumbani kwao hana malengo yoyote.
Si ndio hapa sasa, hata ray anaishi kwao na ni moja ya vijana wenye mafanikio tu,mimi nitaondoka home nikiwa 35 hapo ndio nitaoa, mleta mada asitupangie
 
Dah, wakati mwingine wazazi huwaandalia masiaha mwanao, so Kosa. Mie sasa sitaivwanangu watabike km Mimi nilivyopitia, kukaa ka ndugu kwa shida nk. Unalazimika kulish KUKU na nguruwe ili TUWEZE kula. Sasa km home anaweza akfany shughuli hizo huku akiikadiria vocha navuhakika wa kula mchana na usiku, kulala pazuri, kuongea na marafiki nk. Sio dhambi, siku ikifika wataondoka kwa amani na,wataishi vizuri.
 
Si ndio hapa sasa, hata ray anaishi kwao na ni moja ya vijana wenye mafanikio tu,mimi nitaondoka home nikiwa 35 hapo ndio nitaoa, mleta mada asitupangie
Hahah mtu akiona amepata Kaelfu 50 anaondoka anaenda kupanga , hii yote ni kutafuta gheto la kugongea "mademu" hakuna lingine.
 
"Patience bruh, you know patience is bitter, but it's fruit is sweet".😀😀
 
Hilo Mleta mada hataki kulisikia ndio maana nikatolea mfano wa Wahindi na Waarabu na hata Wazungu je hii nayo haifai?

Hao wanaolisha familia kidogo wana tu aibu aibu kidogo!, ila wote ni wale wale kwani ukiwa na kwako kuhudumia familia ya kwenu itashindikana vipi?

Excuses.
 
Toka kwenu aisee nenda kajitegemee
Wazazi wako wanashindwa kujiachia kwa sababu ya uwepo wako.. Wacha kutafuta defence mechanism
 
Yeye kukaa kwao na kula hela za Wazazi wake wewe unaumizwa na nini?

Waafrika tuache tabia za kimaskini za kuona anayeishi nyumbani kwao hana malengo yoyote.
Toka kwenu katafute hela zako
Mwishoe wazazi wahisi unawaombea kifo
Ili uzitafune vzr
 
kudhubutu kuacha kazi na kujiajir....ha ha haaa fupa hili wameshindwa wabongo wengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…