Hii itawauma wengi

Wewe kama huishi Sinza basi utakuwa unaishi Kinondoni.
 
Mkuu huu ukweli mchungu kabisa kama hawatakusikia basi yaani watu wanapretend sana mitandaoni hata mia hawana
 
Madame B haujamalizia ujue jamaa alikuwa yupoje
 
mimi sio fisi. Unaogopa kuliwa na ukubwa wote huo
Hahahha lini ulianza kutokuwa fisi tatizo sio kuogopa kuliwa na uzee huu ila kuliwa bila kupenda huko ni kubakwa

Yaan huwezi kuniacha hivi hivi tena nipo nyumbani kwako he he yaani na picha nimeshakuvutia
 
Hahahha lini ulianza kutokuwa fisi tatizo sio kuogopa kuliwa na uzee huu ila kuliwa bila kupenda huko ni kubakwa

Yaan huwezi kuniacha hivi hivi tena nipo nyumbani kwako he he yaani na picha nimeshakuvutia
Hahaha sitakukula labda itokee, kwahyo usiogope
 
sasa unataka uje alafu uondoke nisiwekee hata kichwa tu kidogo. Kwanza utaniona boya kweli
Umeona sasa nilivyokuwa nawaza eti uniache tutakutana London lounge panatosha sana
 
Kwani wanaskiaga ndo kwanza anaamka na ujumbe eti Comment AMEN siku ya leo utafanikiwa blad basketball nsije kutukana
 
Kupitia uzi huu nami nimeuwakiri kwa jaamagu flani hivi nae kkb, alicho niambia leo asubuhi,anajipanga kutafuta chumba.
 
Tatizo ni kuishi nyumbani au kuendesha Maisha yako?embu nenda Kariakoo na upanga ukacheki wahindi na Waarabu wanavyoishi na watoto wao watu wazima kabisa na Maisha yanasonga.
Hao ni kawaida yao.......unakuta jitu zima la kiume linaenda kuishi ukweni.....au jitu zima na watoto juu bado linakula ugali wa foleni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…