Going Concern
JF-Expert Member
- Jul 25, 2011
- 1,062
- 2,000
nimeletewa zawaidi kutoka American, lakini haina shemu ya sim card, nifanyeje?
nimeletewa zawaidi kutoka American, lakini haina shemu ya sim card, nifanyeje?
nimeletewa zawaidi kutoka American, lakini haina shemu ya sim card, nifanyeje?
Hiyo si iphone 4 ni iphan 4c itazame vizuri
Mkuu simu yako ni ya CDMA carrier, kama imetoka Marekani then simu hiyo ilikuwa on Verizon au Sprint ambazo kuna baadhi ya simu zao hazitumii sim card, especially za zamani kama hiyo iPhone. Ni kama zile simu za mkononi za TTCL au Sasatel, hazina SIM card slot but the phone is already tied to the network.
Kwaiyo kaka hapo no way out?
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us