Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 15,512
- 27,516
Tunahukumu vibaya kwa kukosa taarifa sahihi toka upande wa shule.Kwani lazima aende right way?
Kwanza kabisa mtoto chini ya miaka kumi hawezi ku concentrate for two hours non-stop. Hiyo shule Ni ya CCM?
Walimu wa hapo hawajasoma saikolojia ya watoto kabisa.
It is a wrong school. Achana nayo
Kuna mdau kafafanua hiyo shule wanapima watoto na tabia zao, hivyo katika hayo masaa mengi wanakuwa wanacheza tu huku wanamsoma character zake, kama mbaya wanamkataa hata kama mitihani ya taaluma kapa 100% yote.