Superboy
Member
- Sep 17, 2013
- 45
- 6
Kuna mdada msenegal kaniomba msaada. Yeye ni yatima baba yake enzi za uhai alikuwa mfanya biashara wa madini katika maswala ya urithi aliandikwa yeye. Sasa kuna pesa ziko scotland 4200000 milion dolla na sheria za benki zinamtaka atafute mtu ambaye sio wa senegal ndio atumiwe hizo hela na mdada kanipoint mimi halfu wanataka hati ya kiapo kutoka kwa mwanasheria wa senegal nilipata anwani ya mwanasheria wa senegal kutoka kwa huyo mdada mwanasheria anataka $700 ili aandike hiyo hati ampe huyo mdada asaini halafu aitume bank ndio wanitumie hizo hela ili yule mdada aje tanzania aendelee na masomo nayule mdada hana hiyo $700 na nilipo wasiliana na bank wakasema wakiipata tu hiyo hati baada ya lisaa wananitumia hiyo hela 4.2us dollas na yule mwanasheria anadai nimtumie western union ili aikamilishe hiyo hati sasa nitume au. Halafu wanaotaka niwasaidie inshu kama hii wanazidi kila kukicha.