Half american JF-Expert Member Joined Sep 21, 2018 Posts 45,106 Reaction score 111,768 Apr 8, 2021 #1 Habari wakuu, nmeiona mahali hii nikavutiwa kujua inawezekanaje ikawa tarehe moja na mwezi mmoja kwa watoto wote watatu? Kwa mwenye uelewa kuhusu hili atusaidie.
Habari wakuu, nmeiona mahali hii nikavutiwa kujua inawezekanaje ikawa tarehe moja na mwezi mmoja kwa watoto wote watatu? Kwa mwenye uelewa kuhusu hili atusaidie.
Half american JF-Expert Member Joined Sep 21, 2018 Posts 45,106 Reaction score 111,768 Apr 8, 2021 Thread starter #2 Kurt McCoy said: Mimi na wadogo zangu watano tunafanana tarehe ya kuzaliwa. Jan,June na December Click to expand... Inakuwaje kuwaje hii?
Kurt McCoy said: Mimi na wadogo zangu watano tunafanana tarehe ya kuzaliwa. Jan,June na December Click to expand... Inakuwaje kuwaje hii?
Its Pancho JF-Expert Member Joined Sep 21, 2018 Posts 16,748 Reaction score 28,142 Apr 8, 2021 #3 Itakuwa alihifadhi mabao kwenye chupa Lakini Mimi na mama shaibu wangu tumefyatua watoto kama ngazi?
Unforgettable JF-Expert Member Joined Aug 1, 2019 Posts 5,584 Reaction score 12,439 Apr 8, 2021 #4 Inawezekana kabisa siwanamuoperate tu kulingana na tarehe anayochagua mzazi Kingsmann
Half american JF-Expert Member Joined Sep 21, 2018 Posts 45,106 Reaction score 111,768 Apr 11, 2021 Thread starter #5 Panchito said: Itakuwa alihifadhi mabao kwenye chupa Lakini Mimi na mama shaibu wangu tumefyatua watoto kama ngazi? Click to expand... Ndio inavyotakiwa mkuu Unforgetable said: Inawezekana kabisa siwanamuoperate tu kulingana na tarehe anayochagua mzazi Kingsmann Click to expand... Hii si ina gharama sana?
Panchito said: Itakuwa alihifadhi mabao kwenye chupa Lakini Mimi na mama shaibu wangu tumefyatua watoto kama ngazi? Click to expand... Ndio inavyotakiwa mkuu Unforgetable said: Inawezekana kabisa siwanamuoperate tu kulingana na tarehe anayochagua mzazi Kingsmann Click to expand... Hii si ina gharama sana?
BlackJoker Member Joined Apr 15, 2021 Posts 5 Reaction score 3 Apr 15, 2021 #6 recycle Bin said: Ndio inavyotakiwa mkuu Hii si ina gharama sana? Click to expand... Unataka kuifanya na wewe au?
recycle Bin said: Ndio inavyotakiwa mkuu Hii si ina gharama sana? Click to expand... Unataka kuifanya na wewe au?