Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,742
- 40,971
Wakigoma getini unakutana na aliye tayari kufanya kazi hata kwa pungufu ya hiyo helaKwanini wasigome kufanya kazi hapo uone kama hawataongezewa ujira.
Wakigoma getini unakutana na aliye tayari kufanya kazi hata kwa pungufu ya hiyo helaKwanini wasigome kufanya kazi hapo uone kama hawataongezewa ujira.
We umegundua leo?Waziri mkuu alienda Urafiki akakuta mchina analipwa millioni 30,mbongo analipwa buku 2 kwa siku,Tena sio muajiriwa.Wakuu ukoloni bado upo, hawa wahindi sio watu kabisa. Hivi kweli mfanyakazi anafanya kazi masaa 12 halafu unamlipa 3800 sasa hiyo pesa atafanyia nini.
Kwa kweli mtaani hali ni mbaya kama kweli tungekuwa uchumi wa kati hakuna mtanzania angeenda kufanya kazi kwa hao mashetani.
Cha kushangaza kampuni yenyewe ni kubwa (Sayona) huwezi hata ifikiria, kila siku inapigiwa promo/vinywaji na msanii mkubwa/Yuda
Serikali ya wanyonge iko wapi, hivi imeshindwa kuweka watu wa kumonitor na kuregulate mishahara ya wafanyakazi wasio rasmi. Kama ilivyoweka kwenye kitengo maalum cha kukusanya mapato.
Mishahara mizuri mizuri wanalipana wao na ndugu zao lakini ngozi nyeusi unakula 3800 na ukikaa hata siku moja utoro/ukiugua wanakukata mwisho wa mwezi.