Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,327
- 24,209
Usidanganyike!Mkuu hakunaga kibarua anaye katwa ama pesa yake kupeleka NSSF!
Akipewa. 3800 ndio imeisha iyo! Na siyo kila siku anapata kibarua (kazi)
Akichelewa imekula kwake!
Sio ajira!
Ulizia NSSF, vibarua wanakatwa hiyo NSSF hata kama haina mantiki yoyote na ni wizi!