Habarini...hivi inakuwaje umekubariana na,dem wako kwenda kula bata mkakubaliana mkutane labda bar fulani au hotel fulani...unafika pale yeye kaja na marafiki zake watatu eti wamemsindikiza so gharama zote zinakuhusu....mbaya zaidi ww ulichelewa ukamwambia agiza kinywaji na kaagiza pamoja na marafiki zake...mwanaume hapo utafanyaje
En u galz inakuaje unakubariana na boy wako afu we unawachukua na marafiki zako ukitegemea boy kulipa bill zote?
En u galz inakuaje unakubariana na boy wako afu we unawachukua na marafiki zako ukitegemea boy kulipa bill zote?