huyu ngamia nadhani ni bikra mpaka sasa!!!
hasa mbagala na sinza
huyu ngamia nadhani ni bikra mpaka sasa!!!
hata mi naona aisee
Mi nilimpiga marufuku wa kwangu,nilimwambia akipakaa siku hiyohiyo anaondoka, maana njua zinasababisha kupungua kwa nguvu za kiume pale mnapokissiana na pia ukimeza mchanganyiko wa mate na zenyewe uinaharibu figo na ini kutokana na kemikali zinazotumika kutengeneza hizo lipshine.
Jamani kinadada hakuna kitu kinaniboa kama hizi lipshine na lipstiky yaan mkishazipaka baada ya muda kidogo huwa kuna utando mweupe ka maziwa mgando hutokea kwenye lips hasa asipoongea kwa muda yaani huwa nasikia kinyaaa na kutapika.khaaaaa yaan inaboa. kwan urembo haukamiliki bila kupaka hizo lipshine.
sipendi,nasema tena sipendi mnakera sana.
hahahaaa!! umeona wapi mamii?
huo mdomo wake na hyo lipshine