A Azimio la kazi Senior Member Joined Jun 7, 2023 Posts 138 Reaction score 452 Sep 16, 2023 #1 Mnaofatilia ziara ya mama huko newala, mkuu wa wilaya katolewa jukwaani, baada ya wananchi kufanya fujo na vurugu. Toti wapo Wana tumbuiza apa Hali ni mbaya sana.
Mnaofatilia ziara ya mama huko newala, mkuu wa wilaya katolewa jukwaani, baada ya wananchi kufanya fujo na vurugu. Toti wapo Wana tumbuiza apa Hali ni mbaya sana.
M Manjovial JF-Expert Member Joined Aug 12, 2015 Posts 712 Reaction score 1,263 Sep 16, 2023 #2 Tupe tupe habari mkuu kwa hilo kesho mkuu wa wilaya kinaota nyasi
A Azimio la kazi Senior Member Joined Jun 7, 2023 Posts 138 Reaction score 452 Sep 16, 2023 Thread starter #3 Manjovial said: Tupe tupe habari mkuu kwa hilo kesho mkuu wa wilaya kinaota nyasi Click to expand... Kaka ni hatari, mkuu wa wilaya karudoshwa jukwaani mtu huu tena
Manjovial said: Tupe tupe habari mkuu kwa hilo kesho mkuu wa wilaya kinaota nyasi Click to expand... Kaka ni hatari, mkuu wa wilaya karudoshwa jukwaani mtu huu tena
Robot la Matope JF-Expert Member Joined Apr 10, 2015 Posts 8,593 Reaction score 17,551 Sep 16, 2023 #4 Azimio la kazi said: Kaka ni hatari, mkuu wa wilaya karudoshwa jukwaani mtu huu tena Click to expand... Alitolewa na nani na karudishwa na nani??
Azimio la kazi said: Kaka ni hatari, mkuu wa wilaya karudoshwa jukwaani mtu huu tena Click to expand... Alitolewa na nani na karudishwa na nani??
fundi bishoo JF-Expert Member Joined Jun 26, 2018 Posts 14,499 Reaction score 27,784 Sep 16, 2023 #5 mambo nchabwede apo newala nanyumbu
DR SANTOS JF-Expert Member Joined Mar 11, 2019 Posts 14,229 Reaction score 32,043 Sep 16, 2023 #6 picha
Mr.Junior JF-Expert Member Joined Sep 8, 2013 Posts 13,079 Reaction score 12,079 Sep 16, 2023 #7 Azimio la kazi said: Mnaofatilia ziara ya mama huko newala, mkuu wa wilaya katolewa jukwaani, baada ya wananchi kufanya fujo na vurugu. Toti wapo Wana tumbuiza apa Hali ni mbaya sana. Click to expand... ........Acha uongo mzee.
Azimio la kazi said: Mnaofatilia ziara ya mama huko newala, mkuu wa wilaya katolewa jukwaani, baada ya wananchi kufanya fujo na vurugu. Toti wapo Wana tumbuiza apa Hali ni mbaya sana. Click to expand... ........Acha uongo mzee.