Yaani kuna demu mmoja kiikweli nilikuwa nampenda sana tena sana na yeye alijua kuwa nampenda ila mwanzo wamwaka huu baada ya kumtambulisha kwa baadhi ya nduugu zangu na kupita kama wiki mbili hivi akiniibox na kuniambia eti kafungishwa ndoa na jamaa ake wa zamani ambaye hakuniambia hapo awali. Cha ajabu na kushangaza sasa aniinbox na kunikashifu mara anisalimie vizuri mara atukane ila mi nimekaa tu kimya wala sina bifu na nimekubaliana na matokeo. Ila sasa kwa nini bado anaendelea kunisumbua na akiona nipo kimya anamuulizza rafiki yangu habari zangu anataka nini nisaidieni jamani.