Well hao ni wale wanaoitwa wamachinga wanaofanya biashara katika maeneo yasiyotakiwa. Nami pia nimejaribu kufuatilia, inasemekana huyo mama walimwambia watamkamata na yeye akawatishia kuvua nguo zote.
Mimi siwesi kucomment unless nijue tatizo lilikuwa nini!
Huu ndo ujinga tunaofanyiwa na sisi tunashangilia. Hakuna mtu mwenye mamlaka ya kumpiga mtu yeyote awe askari au nani. Lakini ni nini tunafanya kuonyesha kuwa hii siyo haki? Tunaandika tu na kuishia hapo. If we dont do something askari wateendelea kutunyanyasa na kutufanya punching bags.
If you keep doing what you always do, you will always be what you are. Period
:a s-confused1: Hawa mgambo nimesha wa mark sura zao, nitawafuatilia pale halmashauri, siwezi vumilia wakati uwezo ninao
Huu ndo ujinga tunaofanyiwa na sisi tunashangilia. Hakuna mtu mwenye mamlaka ya kumpiga mtu yeyote awe askari au nani. Lakini ni nini tunafanya kuonyesha kuwa hii siyo haki? Tunaandika tu na kuishia hapo. If we dont do something askari wateendelea kutunyanyasa na kutufanya punching bags.
If you keep doing what you always do, you will always be what you are. Period
Mipango mibaya ya watawala ambao wapo bize kuuza nchi badala ya kuwasaidia the common wananchiz kama hawa ambao wanajitafutia rizki zao kwa njia halali. Huu ni ushenzi wa hali ya juu.