PetCash
JF-Expert Member
- Mar 20, 2012
- 1,996
- 2,017
Dah! Nilikuwa kwenye jam nawaza. Mara ghafla nikakumbuka kitu ambacho sijawahi kukitilia maanani.
Yani wasichana wote niliowahi kukutana nao (Except wife tu) eti mimi nilikuwa wa pili kwao. Yaani after yule aliyewaingiza ukubwani.
Seriously? Yaani inawezekana hiyo coincidence? yani wote i was the second?
Dah hapo nilikuwa napigwa changa la macho tu halafu mbaya hata sikuwauliza walijisemea tu.
Eti "baby you're my second"
Yani wasichana wote niliowahi kukutana nao (Except wife tu) eti mimi nilikuwa wa pili kwao. Yaani after yule aliyewaingiza ukubwani.
Seriously? Yaani inawezekana hiyo coincidence? yani wote i was the second?
Dah hapo nilikuwa napigwa changa la macho tu halafu mbaya hata sikuwauliza walijisemea tu.
Eti "baby you're my second"