chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 21,369
- 27,785
Habari za siku Wana-MMU,..
Nimeadimika kidogo kwenye hili Jukwaa la mambo ya kiutu uzima kutokana na majukumu mazito niliyokuwa nayo katika majukwaa mengine,.
Back to the topic,.
Mimi ni mtu wa kujichanganya sana na watu mbalimbali pasipo kujali jinsia wala status ya mtu, kikubwa kuheshimiana tu!!
Nilikuwa na majadiliano na mabinti katika kusanyiko fulani la kimahusiano,.
Kiukweli nimepata kufahamu mambo mengi kuhusu mahusiano na namna akina dada walivyokuwa na ujasiri katika kutoa michango yao pasipokuwa na aibu au kuogopa chochote,.
Katika lile kusanyiko kuna Jamaa fulani alikuwa amevalia vesti huku kifua chake kikionekana wazi,.
Kilichonishangaza
Baadhi ya wale mabinti niliokuwa nimekaa nao karibu nilimsikia mmoja wao akimwambia mwenzake '' Jamani nimependa Garden Love ya yule mkaka''
Kiukweli nilishtuka sana kusikia maneno ya yule binti,.
Muda si mrefu lile tukio likafikia tamati huku nikijiuliza mwenyewe maswali mengi ambayo sijayapatia majibu mpaka sasa,.
Wanaume tuna kazi kubwa sana kugundua ni mambo au vitu gani vinavyowavutia mabinti katika suala zima la mapenzi,.
Kwa hali niliyomuacha nayo yule binti bila shaka alimtamani yule Jamaa!!
Kama alikuwa na mtu wake sijui itakuaje sasa,.
Kweli mapenzi ni upofu!!
Nimeadimika kidogo kwenye hili Jukwaa la mambo ya kiutu uzima kutokana na majukumu mazito niliyokuwa nayo katika majukwaa mengine,.
Back to the topic,.
Mimi ni mtu wa kujichanganya sana na watu mbalimbali pasipo kujali jinsia wala status ya mtu, kikubwa kuheshimiana tu!!
Nilikuwa na majadiliano na mabinti katika kusanyiko fulani la kimahusiano,.
Kiukweli nimepata kufahamu mambo mengi kuhusu mahusiano na namna akina dada walivyokuwa na ujasiri katika kutoa michango yao pasipokuwa na aibu au kuogopa chochote,.
Katika lile kusanyiko kuna Jamaa fulani alikuwa amevalia vesti huku kifua chake kikionekana wazi,.
Kilichonishangaza
Baadhi ya wale mabinti niliokuwa nimekaa nao karibu nilimsikia mmoja wao akimwambia mwenzake '' Jamani nimependa Garden Love ya yule mkaka''
Kiukweli nilishtuka sana kusikia maneno ya yule binti,.
Muda si mrefu lile tukio likafikia tamati huku nikijiuliza mwenyewe maswali mengi ambayo sijayapatia majibu mpaka sasa,.
Wanaume tuna kazi kubwa sana kugundua ni mambo au vitu gani vinavyowavutia mabinti katika suala zima la mapenzi,.
Kwa hali niliyomuacha nayo yule binti bila shaka alimtamani yule Jamaa!!
Kama alikuwa na mtu wake sijui itakuaje sasa,.
Kweli mapenzi ni upofu!!