Candela
JF-Expert Member
- Aug 12, 2021
- 857
- 2,289
Kuna mtu aliniomba 1M May, nikamwambia ntaangalia uwezekano ila akiona kimya ajue imefeli.
Leo August kanitumia ujumbe unasema, "NILIKUOMBA PESA ILA UMEKAA KIMYA INA MAANA HAINA UMUHIMU KWAKO".
Shida sio kusema nimekaa kimya. Shida ni hapa kwenye umuhimu yaani we ukiwa na shida ukanikopa pesa inakuwa na umuhimu gani kwangu?
Guys ukiwa na dharura ya pesa usiifanye iwe dharura kwa mtu unaemuomba akusaidie pesa. Jifunzeni kuelewa msaada sio lazima so unapoomba pesa kwa mtu omba pesa na sio kueleza matatizo utayotatua na hiyo pesa.
Leo August kanitumia ujumbe unasema, "NILIKUOMBA PESA ILA UMEKAA KIMYA INA MAANA HAINA UMUHIMU KWAKO".
Shida sio kusema nimekaa kimya. Shida ni hapa kwenye umuhimu yaani we ukiwa na shida ukanikopa pesa inakuwa na umuhimu gani kwangu?
Guys ukiwa na dharura ya pesa usiifanye iwe dharura kwa mtu unaemuomba akusaidie pesa. Jifunzeni kuelewa msaada sio lazima so unapoomba pesa kwa mtu omba pesa na sio kueleza matatizo utayotatua na hiyo pesa.