Hii imekaaje unachokitaka sio unachokipata, usichokitaka sasa...

mwekundu

JF-Expert Member
Mar 4, 2013
21,859
19,734
Hii ipo sana kwenye Ku date ,kiukweli kuna ugumu tena sana kukutana au kupata access ya kumpata au hata kukutana nae unaempenda for real,nasisitiza tena REAL LOVE
Mimi niliona iko kwangu tu lakini kumbe nimeona kwa rafiki na washikaji zangu wa karibu wa kike na kiume ,na usie mpenda anakuganda kama ruba!!
Sasa nauliza hivi may be sisi tuna exaggerate things ?au tuna aim high sana kuliko uwezo wetu au tufanyaje kufikia lengo letu?au age?
Au na nyie kwenu hii hali hua inawatokea au imeshawahi kukutokea?uli solve vipi na kupambana vipi na incompability hizi

Jamani unaweza ukawa umefanikiwa kielimu ,kiuchumi,kisiasa,kijografia ,kifizikia,etc ila ukikosea tu mke/mume either utakufa mapema( ushahidi wa kisayansi upo) ,utaishi maisha yasiyokua na furàha ( mafanikio yanakua meaningless) ,utapata aibu na mgogoro hadi unaingia kaburini etc etc hivyo basi MMU ni integral part of life na sanaa ya mapenzi na jamii inapaswa tuiandike kulingana na enzi hizi za global challenges na love market
Love breeds marriage ,marriage leads to family which is a natural and traditional institution of raising children then the society and nation
 
mi naanzaga kumpenda mtu vyovyOte vile alivo bahat mbaya anaependwa anakuhate / kukwepa wakati huo anaonikwepa kuNa anaenifukuzia hivo namkubalia ata km haniingi akilini nakuw namchora ubongon picha nzurnzur ata kma moyo ulikuw unagoma Najikuta namkubali nakumsahau niliemhangaikia kumpenda lyf lina go on.
 
Jamani unaweza ukawa umefanikiwa kielimu ,kiuchumi,kisiasa,kijografia ,kifizikia,etc ila ukikosea tu mke/mume either utakufa mapema( ushahidi wa kisayansi upo) ,utaishi maisha yasiyokua na furàha ( mafanikio yanakua meaningless) ,utapata aibu na mgogoro hadi unaingia kaburini etc etc hivyo basi MMU ni integral part of life na sanaa ya mapenzi na jamii inapaswa tuiandike kulingana na enzi hizi za global challenges na love market
Love breeds marriage ,marriage leads to family which is a natural and traditional institution of raising children then the society and nation

Kama inafikia mahala unaona kuwa ulikosea huyo mwenza kuwa naye kwa nini usiondoke tu?

Ndo maana kuna talaka. Hakuna haja ya kuendelea kuwepo kwenye ndoa mbaya.

Ukiona mambo hayaendi vile ulivyotarajia na kama hakuna matumaini ya hali kutengemaa, ondoka tu.
 
Kama inafikia mahala unaona kuwa ulikosea huyo mwenza kuwa naye kwa nini usiondoke tu?

Ndo maana kuna talaka. Hakuna haja ya kuendelea kuwepo kwenye ndoa mbaya.

Ukiona mambo hayaendi vile ulivyotarajia na kama hakuna matumaini ya hali kutengemaa, ondoka tu.
Issue hapa why inakua ngumu sana Ku meet na soulmate?
 
Issue hapa why inakua ngumu sana Ku meet na soulmate?

Kwa sababu binadamu ni viumbe tulio changamani sana.

Ni vigumu sana, au niseme haiwezekani kuzijua kwa uhakika hisia za mwenzako au kuzijua fikra zake.

Hicho ndicho kiini cha ugumu wa kukutana na huyo wako muhibu.

Tena siku hizi na hayo mambo ya mitandao ya kijamii ndo bure kabisa.

Mitandao ya kijamii imerahisisha sana watu kutokuwa waaminifu.
 
Kweli huo ni mtihani na ni bahati sana mtu kuufaulu
Maana wengi wao haswa wasomi ndio wanafeli mno yani unakuta mtu anakila kitu ila hana amani wala raha ya maisha au familia aliyonayo
 
Kwa sababu binadamu ni viumbe tulio changamani sana.

Ni vigumu sana, au niseme haiwezekani kuzijua kwa uhakika hisia za mwenzako au kuzijua fikra zake.

Hicho ndicho kiini cha ugumu wa kukutana na huyo wako muhibu.

Tena siku hizi na hayo mambo ya mitandao ya kijamii ndo bure kabisa.

Mitandao ya kijamii imerahisisha sana watu kutokuwa waaminifu.
Hizi social for sure lazima wengi tutaangukia kwenye kukosea!!
 
Nimekumbuka Wimbo wa wana njeje, "Dau lako la Mia wataka elfu nne".

Ili kumpata yule umpendae ni vizuri na wewe ukajipambanua kwa namna unavyoona inakufaa. Tafuta majukwaa yenye kuendana na huyo "soul mate" umtakae. Tafuta maarifa na weledi juu ya mapenzi ili ufanikiwe harakati za kumpata.
 
Binadamu ni ambitious siku zote, haishiwi tamaa. Hii kitu sio kwenye ku-meet soulmate peke yake.

Hata vipato navyo ni hivyo hivyo, unaweza ukasema nikipata million tatu kwa mwezi mambo yatakuwa safi, siku ukifanikiwa kuwa unapata that amount utaona haitoshi tena. Binadamu ndio kaumbwa hivyo.
 
Wengi huwa tuna settle haraka for 'the ting that is almost what we want'

Ila tungekuwa na subira na kupata the thing! Haya unayoyasema yasingetokea...

4c196ce76de5f85322c5cb4f843ca2a2.jpg
 
Hakuna kitu kigumu kama kujilazimisha kumpenda mtu. Ukishaona umekuwa na mtu kwaahusiano kama mwaka hivi unajaribu kumpenda ila unashindwa jua hutakaa umpende hata mkioana.... Mtu ambae ukiona simu au sms zake unanuna badala ya kutabasamu mhhhhh ni ngumu aiseeee.....
To love is something but to love and to be loved is everything.....
 
Cons acid umesema kweli coz naamini wanaume kwa wanawake ni wachache sana amabao wameoa ambao hawakutegemea na huishia kutamani nje na hata kama wangewapata wangetamani tena wengine IKO HIVO
 
Back
Top Bottom