Bishweko
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 4,280
- 2,980
Wanajamvi,
Kuna jambo limenitokea maishani na sikutegemea. Nilimpata mdada wa Kihehe tukaanza safari ya maisha na tukapata mtoto wa kiume kwa sasa ana miezi kuna mmoja. Wiki kama tatu hizi atuishi wote maana siku natoka kazini nilikuta kaondoka na mtoto na mfanyakazi.
Nikawa napiga simu hapokei, baada ya mda nikaambiwa kuwa yupo kwa dada yake . Sasa nikipiga simu anapokea shemeji yake ambaye anamuoa dada yake nakuniambia eti sijalipa mahali. Sasa najiuliza mahali inabidi nidaiwe na mtu ambaye tumeoa familia moja au ndo utamaduni wa wahehe na kwanini huyu jamaa ndo anapokea simu hiyo.
Nitafunguka zaidi wanajamvi, lakini nipeni ushauri lipi la kufanya
Kuna jambo limenitokea maishani na sikutegemea. Nilimpata mdada wa Kihehe tukaanza safari ya maisha na tukapata mtoto wa kiume kwa sasa ana miezi kuna mmoja. Wiki kama tatu hizi atuishi wote maana siku natoka kazini nilikuta kaondoka na mtoto na mfanyakazi.
Nikawa napiga simu hapokei, baada ya mda nikaambiwa kuwa yupo kwa dada yake . Sasa nikipiga simu anapokea shemeji yake ambaye anamuoa dada yake nakuniambia eti sijalipa mahali. Sasa najiuliza mahali inabidi nidaiwe na mtu ambaye tumeoa familia moja au ndo utamaduni wa wahehe na kwanini huyu jamaa ndo anapokea simu hiyo.
Nitafunguka zaidi wanajamvi, lakini nipeni ushauri lipi la kufanya