Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,146
- 13,216
Jana 2802012 Gavana wa Benki Kuu alinukuliwa na vyombo kadhaa vya habari nchini akisema kwamba wateja wa pesa kupitia mitandao ya simu za mkononi (tiGO pesa, M-Pesa, Air ell money, ZAP) wamefikia milioni 21 na kwamba jumla ya fedha zilizopo kwenye mzunguko ni Trilioni 1.5, NAJIULIZA MUSTAKABALI WA SEKTA YA KIBENKI NCHINI kutokana na kuongezeka kwa kasi kwa sekta hii ambapo wasiwasi wangu ni kwamba huenda fedha nyingi ikawa mikononi mwa wananchi na pia ni tishio kwa uchumi wa kibenki, hii imekaaje great thinkers??