ThugMaster
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 1,601
- 2,263
UFAFANUZI KUHUSU NENO WANAUME WA DAR.
wanaume wa Dar ni tabia haijalishi unaishi wap, mfano we mwanaume :-
1. Unaishi Tabora ndani afu unamtext mwanaume mwenzako una mwita My, dear etc wewe pia ni mwanaume wa Dar
2. Unaishi Mwanza ila wimbo wako bora ni "ninogeshe" ya nandy, nampa papa we nae ni mwanaume wa Dar
♂
♂
3. Uko arusha ila unakula soda na biscuits unashiba na kulala kabisa Usiku, we ni mwanaume wa Dar
4. Unaishi kigoma ila TV show unazoangalia ni shilawadu, chereko na ng'aringa'ri,na nyimbo zako tarabu wewe ni mwanaume wa Dar
5. Unakaa mbeya ila unaagiza chips yai afu unakazia iwe na tomato nyingii, we ni mwanaume wa Dar

6. Uko Iringa ila Unachatt kwa kuandika x badala ya s, lmao, lol ,jomon
wewe ni wa Jiji la Makonda

7. Unavaa surual mebana chin afu unaivuta usawa wa kigimbe wew ni mwanaume wa dar
8. Unaishi Musoma alafu uvaa Helen na nyweli unapaka rangi ya nyumba Dar

9. Unaishi Simiyu ila uktoka kuoga unavua kila kitu ndo upake mafuta, wewe ni mwanaume wa Dar

10. Unaishi mtwara ila unaweka status picha ishirin, wewe ni mwanaume wa Dar

Aman iwe nanyi wanaume wa Dar mlioko mikoani
wanaume wa Dar ni tabia haijalishi unaishi wap, mfano we mwanaume :-
1. Unaishi Tabora ndani afu unamtext mwanaume mwenzako una mwita My, dear etc wewe pia ni mwanaume wa Dar

2. Unaishi Mwanza ila wimbo wako bora ni "ninogeshe" ya nandy, nampa papa we nae ni mwanaume wa Dar
♂
♂3. Uko arusha ila unakula soda na biscuits unashiba na kulala kabisa Usiku, we ni mwanaume wa Dar

4. Unaishi kigoma ila TV show unazoangalia ni shilawadu, chereko na ng'aringa'ri,na nyimbo zako tarabu wewe ni mwanaume wa Dar

5. Unakaa mbeya ila unaagiza chips yai afu unakazia iwe na tomato nyingii, we ni mwanaume wa Dar


6. Uko Iringa ila Unachatt kwa kuandika x badala ya s, lmao, lol ,jomon

wewe ni wa Jiji la Makonda

7. Unavaa surual mebana chin afu unaivuta usawa wa kigimbe wew ni mwanaume wa dar

8. Unaishi Musoma alafu uvaa Helen na nyweli unapaka rangi ya nyumba Dar


9. Unaishi Simiyu ila uktoka kuoga unavua kila kitu ndo upake mafuta, wewe ni mwanaume wa Dar


10. Unaishi mtwara ila unaweka status picha ishirin, wewe ni mwanaume wa Dar


Aman iwe nanyi wanaume wa Dar mlioko mikoani
