Hii huwa inakuwaje kuwaje?

Hii huwa inakuwaje kuwaje?

Melancholic

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2018
Posts
3,546
Reaction score
6,499
Wakuu mimi nina swali moja tu leo.

Kwanini mwanamke akikuelewa halafu wewe huna muda nae basi anakuletea shobo nyingi, ila ukithubutu kumtongoza tu basi anakuwa ni mtu wa kuona aibu muda wote hata usoni hakuangalii?

Anakuwa kama kaingiwa na woga flani yani hata salamu kukupa inakuwa changamoto tofauti na mwanzo.

Je, hii hali huwa inatokana na nini? Maana nimeshaona kwa wanawake zaidi ya watatu sasa.
 
Hiyo ni kwa wavulana na wasichana, kwa watu wazima haipo hivyo. Ni kuambizana ukweli tu mkikubaliana mnaenda kumalizana msipokubaliana inabaki hivyo tu
 
Saikolojia mwanamke akikupenda basi kapoteza control kabisa yaani kafa kaoza kabisa hajiamini juu yako kabisa,kingine utagundua hata kuongea na wewe anakuwa na aibu anajihisi kama hanukii vizuri mbele yako ,mara kucheka cheka na kuziba mdogo .

Ukimtongoza ndo kabisa anapoteza confidence kabisa.
 
Saikolojia mwanamke akikupenda basi kapoteza control kabisa yaani kafa kaoza kabisa hajiamini juu yako kabisa,kingine utagundua hata kuongea na wewe anakuwa na aibu anajihisi kama hanukii vizuri mbele yako ,mara kucheka cheka na kuziba mdogo .

Ukimtongoza ndo kabisa anapoteza confidence kabisa.
Upo sahihi mkuu
 
Hiyo ni kwa wavulana na wasichana, kwa watu wazima haipo hivyo. Ni kuambizana ukweli tu mkikubaliana mnaenda kumalizana msipokubaliana inabaki hivyo tu
Kaka hao niliyowahi kuwashuhudia wakifanya hv ni watu wazima kabisa wengine single mother
 
Saikolojia mwanamke akikupenda basi kapoteza control kabisa yaani kafa kaoza kabisa hajiamini juu yako kabisa,kingine utagundua hata kuongea na wewe anakuwa na aibu anajihisi kama hanukii vizuri mbele yako ,mara kucheka cheka na kuziba mdogo .

Ukimtongoza ndo kabisa anapoteza confidence kabisa.
Wewe ndio umeongea kitu mkuu ahsante sana
 
Watu wa jamiiforum sasa kujifanya, yaani kama tupo kwenye dunia yetu
 
Back
Top Bottom