Wewe unaijuwa IT?wanafunzi wasikuizi bhana dah mnapenda kulialia mbn NIT chuo chepesi sana kile ungesona DIT, ARU,Muhimbili je au Mzumbe ww si ndo mngedata nyie.....visabu vya it vinawatoa jasho wakati mnatumia simu lap too ila it amuijui dah.
Changieni chuo kupitia fees!!!Ni hv wandugu wanafunzi walifanya UE mwezi 9 kwenda mwaka 3 lakini kama wanafunzi 180 walipata suprimementary katika somo la IT wakafanya tena mtihan wa hlo somo ili wasapue but wanafunzi wote wakafeli tena kwa kupata f.Wakarud nyumban sabab ilikua ni likizo lakini baada ya hayo matokeo ambalo somo hilo anafundisha mwalimu Daudi,idara ya logistic ikahoji iweje wanafunzi wote wafeli tena kwa kupata f?.Uongozi ukabadilisha mwalimu wa somo na mwalimu Daudi akaondolewa.Mwalimu aliteuliwa akatangaza wanafunzi warudi chuoni atawafundisha kwa siku 10 na atawapa mtihan mwingine.So wanafunzi wakarudi chuon toka likizo wengine waliwahi kurudi na wengine walichelewa,siku ya mtihan ikafika na wanafunzi wakafka kwenye chumba cha mtihan mara wakaambiwa waliochelewa kufika hawatafanya mtihan kwa hyo watoke nje na wakafanya hivyo.lakini badae wakataka kujua hatma yao mana hawakuchelewa kwa makusudi Kwan ilikua ni likizo na walikua nyumban.Sasa cha ajabu wameambiwa wanarudia mwaka wa pili kwa kufeli somo moja tu tena watasoma semester ya pili.Kawaida vyuo vyote ukifeli somo moja unaenda mwaka 2 au 3 lakini unabeba/soma lile somo ulilofeli mwaka uliopita.Wizara ya Elimu hebu kitazameni hiki chuo cha jicho LA tatu mana kuna Madudu mengi saana pale NIT wakufunzi ni kama miungu watu. Na hawa wanafunzi 180 wanarudia mwaka kwa kufeli somo moja tu tunaomba wizara husika mkitazame iki chuo
Wewe unaijuwa IT?
Kaisome tena halafu uje hapaBinafsi naifaham sana. Na nimeisoma DIT.
Utakuta jamaa kama wewe hata hio tecno y3 umepewa na mume wa dada yako halafu leo unapata ujasiri wa kutype upuuzi huowanafunzi wasikuizi bhana dah mnapenda kulialia mbn NIT chuo chepesi sana kile ungesona DIT, ARU,Muhimbili je au Mzumbe ww si ndo mngedata nyie.....visabu vya it vinawatoa jasho wakati mnatumia simu lap too ila it amuijui dah.
Ni hv wandugu wanafunzi walifanya UE mwezi 9 kwenda mwaka 3 lakini kama wanafunzi 180 walipata suprimementary katika somo la IT wakafanya tena mtihan wa hlo somo ili wasapue but wanafunzi wote wakafeli tena kwa kupata f.
Kwenye issue kama hii mwalimu huwa hajiamulii tu, itakuwa imepitishwa na chuo. Kitu ambacho hukuwa wazi ni je waliambiwa watafanya mtihani wakati likizo inaendelea au ni baada ya chuo kufunguliwa? Sasa hao walio chelewa wamechelewa kwa lipi haswa? Vijana wa siku hizi mnamitandao yenu, najiuliza kama mnaitwa mpewe supplimentary kuna ambaye atakuwa hakupata hizo taarifa kweli au ni yale mambo yetu yaku puuzia puuzia mambo?Mwalimu aliteuliwa akatangaza wanafunzi warudi chuoni atawafundisha kwa siku 10 na atawapa mtihan mwingine.So wanafunzi wakarudi chuon toka likizo wengine waliwahi kurudi na wengine walichelewa,siku ya mtihan ikafika na wanafunzi wakafka kwenye chumba cha mtihan mara wakaambiwa waliochelewa kufika hawatafanya mtihan kwa hyo watoke nje na wakafanya hivyo.lakini badae wakataka kujua hatma yao mana hawakuchelewa kwa makusudi Kwan ilikua ni likizo na walikua nyumban.
Soma sheria za chuo chako. Unatakiwa upate jibu kutoka kwenye examination regulation za chuo, kila chuo kina sheria zake, mjiridhishe kwamba sheria zimezingatiwa. Hayo unayosema mahali kama SUA ni kawaida tu. Hiyo inaitwa kuritake (siyo carry forward).Sasa cha ajabu wameambiwa wanarudia mwaka wa pili kwa kufeli somo moja tu tena watasoma semester ya pili.Kawaida vyuo vyote ukifeli somo moja unaenda mwaka 2 au 3 lakini unabeba/soma lile somo ulilofeli mwaka uliopita.
Hivi unatumia ubongo mada inahusu ugumu wa chuo hii kwani ??wanafunzi wasikuizi bhana dah mnapenda kulialia mbn NIT chuo chepesi sana kile ungesona DIT, ARU,Muhimbili je au Mzumbe ww si ndo mngedata nyie.....visabu vya it vinawatoa jasho wakati mnatumia simu lap too ila it amuijui dah.
Ujamuelewa soma tena.Sasa kama mumesapua mumeshindwa kuchomoa unategemea nin apo kama sio Carry over, na kama ulikuwa finalist lazima urudi darasan tena kwa ada yako mwenyewe loan board hatahusika tena
Mbona haya mambo yako wazi, ukifika mwaka wa tatu, sio mda wa kuruka ruka, piga kitabu isiju kukucost
Sasa mkuu kama mnafahamu Daudi katika somo lake anataka nini-kwa nini msihudhurie vipindi vyake halafu mtegemee kufaulu.Vyuo karibu vyote vina sheria za kuhudhuria masomo na ni wajibu wa mwanafunzi kutekeleza na mwalimu kukazia. Sioni roho mbaya hapa iko wapi>Aisee huyo daudi anaroho mbaya sana sijawah ona maisha yangu, halaf anatabia yakukata marks hasa wasiohudhuria vipindi vyake ukishajua wew nimtoro hata ufaulu sup inakuhusu
Mkuu ni diploma au degreeNi hv wandugu wanafunzi walifanya UE mwezi 9 kwenda mwaka 3 lakini kama wanafunzi 180 walipata suprimementary katika somo la IT wakafanya tena mtihan wa hlo somo ili wasapue but wanafunzi wote wakafeli tena kwa kupata f.Wakarud nyumban sabab ilikua ni likizo lakini baada ya hayo matokeo ambalo somo hilo anafundisha mwalimu Daudi,idara ya logistic ikahoji iweje wanafunzi wote wafeli tena kwa kupata f?.Uongozi ukabadilisha mwalimu wa somo na mwalimu Daudi akaondolewa.Mwalimu aliteuliwa akatangaza wanafunzi warudi chuoni atawafundisha kwa siku 10 na atawapa mtihan mwingine.So wanafunzi wakarudi chuon toka likizo wengine waliwahi kurudi na wengine walichelewa,siku ya mtihan ikafika na wanafunzi wakafka kwenye chumba cha mtihan mara wakaambiwa waliochelewa kufika hawatafanya mtihan kwa hyo watoke nje na wakafanya hivyo.lakini badae wakataka kujua hatma yao mana hawakuchelewa kwa makusudi Kwan ilikua ni likizo na walikua nyumban.Sasa cha ajabu wameambiwa wanarudia mwaka wa pili kwa kufeli somo moja tu tena watasoma semester ya pili.Kawaida vyuo vyote ukifeli somo moja unaenda mwaka 2 au 3 lakini unabeba/soma lile somo ulilofeli mwaka uliopita.Wizara ya Elimu hebu kitazameni hiki chuo cha jicho LA tatu mana kuna Madudu mengi saana pale NIT wakufunzi ni kama miungu watu. Na hawa wanafunzi 180 wanarudia mwaka kwa kufeli somo moja tu tunaomba wizara husika mkitazame iki chuo