Bwisso
Member
- Jan 17, 2012
- 28
- 15
Jamaa na mkewe huwa wanalala kwenye kitanda cha kamba, watoto wanalala chini, siku moja jamaa akataka tendo la ndoa, mama akasema watoto hawajalala , jamaa akabisha ikabidi mama ampe alipoingiza chombo kikapitiliza pembeni kwenye tundu la kitanda cha kamba , jamaa akamuuliza kewe imeingia? watoto wakajibu haijaingia hii huku chini.