Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,722
- 218,283
Ndio kama mnavyoona wenyewe , hapa Mwamba kama kawaida yake akiunga mkono Waumini wa dini ya Kiislam kwenye futari .
Siasa za futali hiziNdio kama mnavyoona wenyewe , hapa Mwamba kama kawaida yake akiunga mkono Waumini wa dini ya Kiislam kwenye futari .
View attachment 2577288
Uchaguzi Mkuu wa 2020 ulikuwa HARAMU kutokana na wizi wa kura ulioratibiwa na MagufuriAlipata funzo la kuacha ugaidi segerea
Magufuli alishirikiana na Humphrey Polepole , Bashiru Ally ,Lazaro Mambosasa na Dr Wilson MaheraUchaguzi Mkuu wa 2020 ulikuwa HARAMU kutokana na wizi wa kura ulioratibiwa na Magufuri
Ni kweli sabaya yu huru!?Magufuli alishirikiana na Humphrey Polepole , Bashiru Ally ,Lazaro Mambosasa na Dr Wilson Mahera
Hongera. Nimekuona na hijabu lako la pinki.
Kwanini huyu asijiudhuru akaleta wake ambao msafi?Magufuli alishirikiana na Humphrey Polepole , Bashiru Ally ,Lazaro Mambosasa na Dr Wilson Mahera
Kwa maelezo ya humu JF iko hivyo , sijathibitisha popoteNi kweli sabaya yu huru!?
Una mawazo ya kijinga sana !Hayo macho na mdomo! Ashauriwe kupunguza pombe kali.
Kimenoga kama mzuka wa valuu vile!Hayo macho na mdomo! Ashauriwe kupunguza pombe kali.
Ila ruzuku inayotokana na huo uchaguzi mnakulaMagufuli alishirikiana na Humphrey Polepole , Bashiru Ally ,Lazaro Mambosasa na Dr Wilson Mahera
Jamaa kashindwa acha 'nyagi' kabisa aiseeNdio kama mnavyoona wenyewe , hapa Mwamba kama kawaida yake akiunga mkono Waumini wa dini ya Kiislam kwenye futari .
View attachment 2577288