Hata kama mkuu, kwani hao wanaokamatwa kwa kuzushiwa ndo huwa wanaachiwa baadae? Tena hao ndo huwa haieleweki hata wameishia wapi. Mtaskia tu kapigwa risasi ya mguu akafa wakati anajaribu kukimbia, au kaugua hadi kufa akiwa mahabusu.Huwezi waamini polisi kiasi hicho.
Sio kila anayekamatwa na kutuhumiwa kuwa ni mhalifu, ni kweli ni mhalifu.
Hata wengine wanaweza mpaka kutiwa hatiani na mahakama kwa ushahidi wa magumashi lakini kiukweli hawana hatia.
Sasa ukiua watu wa hivyo halafu baadaye ukaja fahamu kuwa walikuwa sio wahalifu, utajiskiaje?
Mna akili za kikatili sana. Halafu mnadhubutu kwenda makanisani na misikitini kusali na kuswali.Wanapelekwa sehemu ya wazi ya umma mfano Pale Mwembe yanga wanapandishwa juu ya kama stage waandishi wa habari na wananchi wakishuhudia wanamiminiwa risasi za moto,then wanashushwa na kwenda kuzikwa na jiji...hiyo ni kimya kimya hakuna kuongea.....ikitokea sehemu nyingine hivyo hivyo kamata watano watataja wenzao zoezi lilelile..
Hapo matukio ya uhalifu hasa haya ya mob itakua story
Lakini kama wanaona maisha ni kawaida tu nikiwekwa ndani siku ikifika nitatoka aisee hawakomi hawa!
Unasema waandishi wa habari na wananchi washuhudie, halafu unakuja kusema tena ifanyike kimya kimya! Nadhani haujatulia kiakiliWanapelekwa sehemu ya wazi ya umma mfano Pale Mwembe yanga wanapandishwa juu ya kama stage waandishi wa habari na wananchi wakishuhudia wanamiminiwa risasi za moto,then wanashushwa na kwenda kuzikwa na jiji...hiyo ni kimya kimya hakuna kuongea.....
Unachosema huwa kinafanyika...husikiagi "Jambazi hilo lilipigwa risasi lilipojaribu kuwatoroka polisi wakati likipelekwa kuonesha lilipoficha silaha na wenzake...."Taarifa ya habari juzi kamanda wa polisi amethibitisha kukamatwa vijana 12 ikiwa ni sehemu ya panya road 30 waliofanya uhalifu huko Chanika
Kwa bahati nzuri hawa wahalifu wamekiri kuhusika na uhalifu wote
Tukiendelea na mfumo tulionao wa kuanza kupelekana mahakamani miezi nenda rudi mara dhamana haya kaenda karudi matukio ya uhalifu hayatokuja kuisha nchini!
Juzi tumepoteza askari wetu watiifu huko Mwanza kwa ajali wakiwa wanasafirisha wahalifu sugu tena hatari,wapumzike kwa amani askari wale.
Nini kifanyike ukishawapata wahalifu kama hawa
Wanapelekwa sehemu ya wazi ya umma mfano Pale Mwembe yanga wanapandishwa juu ya kama stage waandishi wa habari na wananchi wakishuhudia wanamiminiwa risasi za moto,then wanashushwa na kwenda kuzikwa na jiji...hiyo ni kimya kimya hakuna kuongea.....ikitokea sehemu nyingine hivyo hivyo kamata watano watataja wenzao zoezi lilelile.
Hapo matukio ya uhalifu hasa haya ya mob itakuwa story
Lakini kama wanaona maisha ni kawaida tu nikiwekwa ndani siku ikifika nitatoka aisee hawakomi hawa!
Kwa tulioishi nchi za gulf arabuni tutakuwa mashahidi...kule hakuna kusikia mwizi huyo..
Mwizi huyo..
Kuna nchi nimeishi huko unaweza enda likizo ukaacha nyumba yako wazi na ukirudi baada ya mwezi au zaidi utakuta vumbi tu ndani au labda paka aingie lakini kila kitu utakuta salama.
Sasa nenda wewe kaibe au ufanye mauaji kule
Hapa kwetu hususan mwaka huu kila siku news unasikia mtu kaua kakamatwa tena na ushahidi kabisa!lakini basi husikii kingine zaidi ya kusikia anapelekwa mahakamani! Hawa wauaji kwa wenzetu huko hawavuki siku 7 anakua keshapotezwa nae hii inasaidia kwa wengine kuogopa kutenda jambo la kuua
Mfano nilisikia mwezi jana kuna mtu huko shinyanga kaua mke wake kwa kumkatakata mapanga na kutenganisha viungo!
Ikasemekana huyu muuaji pia miaka ya nyuma alisha muua mama yake mzazi lakini akahukumiwa kwa kuua bila kukusudia!akafungwa miaka minne sijui...sasa alivyomaliza kifungo amekaa na familia yake na mwisho wa siku kaua mke! Imagine mtu yule yule!
Hivyo hawa panya road na wauaji ni wa kuwa miminia bullets tu itakua mwisho wao!
Oneni Korea huko kuna waziri wa ulinzi yeye alisinzia tu wakati Rais akihutubia kikaoni, lyule alipigwa kombora akafariki!
Mkuu mwanza mitaa ya kwetu vibaka wote waliacha na wengine waliuwawa na wengine kuhama magazine na kukimbia kusikojulikana.Taarifa ya habari juzi kamanda wa polisi amethibitisha kukamatwa vijana 12 ikiwa ni sehemu ya panya road 30 waliofanya uhalifu huko Chanika
Kwa bahati nzuri hawa wahalifu wamekiri kuhusika na uhalifu wote
Tukiendelea na mfumo tulionao wa kuanza kupelekana mahakamani miezi nenda rudi mara dhamana haya kaenda karudi matukio ya uhalifu hayatokuja kuisha nchini!
Juzi tumepoteza askari wetu watiifu huko Mwanza kwa ajali wakiwa wanasafirisha wahalifu sugu tena hatari,wapumzike kwa amani askari wale.
Nini kifanyike ukishawapata wahalifu kama hawa
Wanapelekwa sehemu ya wazi ya umma mfano Pale Mwembe yanga wanapandishwa juu ya kama stage waandishi wa habari na wananchi wakishuhudia wanamiminiwa risasi za moto,then wanashushwa na kwenda kuzikwa na jiji...hiyo ni kimya kimya hakuna kuongea.....ikitokea sehemu nyingine hivyo hivyo kamata watano watataja wenzao zoezi lilelile.
Hapo matukio ya uhalifu hasa haya ya mob itakuwa story
Lakini kama wanaona maisha ni kawaida tu nikiwekwa ndani siku ikifika nitatoka aisee hawakomi hawa!
Kwa tulioishi nchi za gulf arabuni tutakuwa mashahidi...kule hakuna kusikia mwizi huyo..
Mwizi huyo..
Kuna nchi nimeishi huko unaweza enda likizo ukaacha nyumba yako wazi na ukirudi baada ya mwezi au zaidi utakuta vumbi tu ndani au labda paka aingie lakini kila kitu utakuta salama.
Sasa nenda wewe kaibe au ufanye mauaji kule
Hapa kwetu hususan mwaka huu kila siku news unasikia mtu kaua kakamatwa tena na ushahidi kabisa!lakini basi husikii kingine zaidi ya kusikia anapelekwa mahakamani! Hawa wauaji kwa wenzetu huko hawavuki siku 7 anakua keshapotezwa nae hii inasaidia kwa wengine kuogopa kutenda jambo la kuua
Mfano nilisikia mwezi jana kuna mtu huko shinyanga kaua mke wake kwa kumkatakata mapanga na kutenganisha viungo!
Ikasemekana huyu muuaji pia miaka ya nyuma alisha muua mama yake mzazi lakini akahukumiwa kwa kuua bila kukusudia!akafungwa miaka minne sijui...sasa alivyomaliza kifungo amekaa na familia yake na mwisho wa siku kaua mke! Imagine mtu yule yule!
Hivyo hawa panya road na wauaji ni wa kuwa miminia bullets tu itakua mwisho wao!
Oneni Korea huko kuna waziri wa ulinzi yeye alisinzia tu wakati Rais akihutubia kikaoni, lyule alipigwa kombora akafariki!
Hakun cha kujiskia wala kujiona. Ukikamata panya road, peleka mwembe yanga mwagia petrol piga moto wote.Huwezi waamini polisi kiasi hicho.
Sio kila anayekamatwa na kutuhumiwa kuwa ni mhalifu, ni kweli ni mhalifu.
Hata wengine wanaweza mpaka kutiwa hatiani na mahakama kwa ushahidi wa magumashi lakini kiukweli hawana hatia.
Sasa ukiua watu wa hivyo halafu baadaye ukaja fahamu kuwa walikuwa sio wahalifu, utajiskiaje?
Haki za kimataifa za nyokwe, hao waliotunga hizo sheria wenyewe wanauwa watu tena wasio na hatia sembuse mwizi red-handed, China is my best country when it comes to deal with stupid issues .Mna akili za kikatili sana. Halafu mnadhubutu kwenda makanisani na misikitini kusali na kuswali.
Tanzania imesaini mikataba ya haki za binadamu. Kila binadamu hata aliyevunja sheria, ana haki ya kusikilizwa na kuadhibiwa kwa namna sheria zinavyosema.
Tukitaka kutenda matendo ya kinyama kama hayo, tuwaite al-shabaab waje watutawale. Au sisi wenyewe tujitangaze kuwa tumeweka sheria pembeni kwa muda ili tuuvae unyama na kutenda hayo mambo ya kinyama.
Ushauri wangu ni serikali kuongeza nguvu, ubunifu na weledi wa jeshi la polisi. Kama ikiwezekana hili jeshi la nchi nzima lipunguzwe ukubwa ili yaundwe majeshi madogo madogo ya majiji, miji nk. yanayoendana na mahitaji ya mahali husika.
Tusikubali jeshi la polisi lijifiche na kukimbia jukumu la ulinzi na usalama wa raia na mali zao. Tusikubali kujiingiza kwenye umwagaji damu usiofuata misingi ya sheria.
Uhalifu ukifanyika, polisi wanakuwa na pressure ya kukamata wahalifu na kuonesha jamii kuwa jeshi la polisi lipo na linalinda raia. Katika pressure hiyo, huwa mara nyingine wanabambikiza watu wasiohusika. Inaweza isiwe hivyo mara zote, lakini haya mambo yapo.Wahalifu ujulikana maana huwa ni kundi sasa kama mmewatawanya mkawakamata wachache waliokuwa kwenye group utasemaje sio wahalifu
Extra judicial methods zipo miaka yote. Kuwa mhalifu ndio utaijua serikali ilivyo.Hapa bongo hawawezi.
Hakuna mkuu dawa ya hawa watu ni kuwamaliza tu hautasikia ujinga tenaMna akili za kikatili sana. Halafu mnadhubutu kwenda makanisani na misikitini kusali na kuswali.
Tanzania imesaini mikataba ya haki za binadamu. Kila binadamu hata aliyevunja sheria, ana haki ya kusikilizwa na kuadhibiwa kwa namna sheria zinavyosema.
Tukitaka kutenda matendo ya kinyama kama hayo, tuwaite al-shabaab waje watutawale. Au sisi wenyewe tujitangaze kuwa tumeweka sheria pembeni kwa muda ili tuuvae unyama na kutenda hayo mambo ya kinyama.
Ushauri wangu ni serikali kuongeza nguvu, ubunifu na weledi wa jeshi la polisi. Kama ikiwezekana hili jeshi la nchi nzima lipunguzwe ukubwa ili yaundwe majeshi madogo madogo ya majiji, miji nk. yanayoendana na mahitaji ya mahali husika.
Tusikubali jeshi la polisi lijifiche na kukimbia jukumu la ulinzi na usalama wa raia na mali zao. Tusikubali kujiingiza kwenye umwagaji damu usiofuata misingi ya sheria.
Hayajakukuta weweUna roho ya ki-barbarian (watu wenye tabia kama za wanyama wa mwituni).
Binadamu tulishakubaliana kuishi kwa kufuata sheria. Hayo unayosema hayapo kwenye ulimwengu wa binadamu wa karne hizi.
Ndiyo maana wazungu akina Trump wanataka warudi watutawale upya kwa kuwa bado hatutaki kuishi kama binadamu.
Hebuwaelezee hawa wengine humu wanaoleta siasa kwenye kutafuta amani..Mkuu mwanza mitaa ya kwetu vibaka wote waliacha na wengine waliuwawa na wengine kuhama magazine na kukimbia kusikojulikana.
inasemekana kulikua na msako wa vibaka kimya kimya ukikamatwa unapelekwa kigoto unapigwa risas unaenda zikwa na jiji.. kuna watu nawafahamu kama watatu ni vibaka walipotea mpaka leo haijulikani walipo.
inasemekana walikamatwa wakapigwa risas na askar mpaka sasa huku kitaa hali ni shwari vibaka wote walishahama.. hao waliopotea mpaka leo haijulikan na gerezan hawapo kiufup hiyo opereshen imeleta amani mitaa yetu
Kuna yule askari wa magereza juzi kati hapa aliyeenda mbeya kwao akamuua baba yake wazi wazitena mbele ya mama mzazi pale unataka uchunguzi wa nini?Sasa wewe una uhakika gani kwamba wote wamehusika na hilo tukio
Kama wamehusika na ushahidi upo nini maana ya kuundwa sheria na mahakama
Unashawishi watu wachukue sheria mkononi wakati unajua ni kinyume Cha sheria
Mkuu ujue sijaandika kwa mihemko, ni swal ambalo liko moyoni mwangu muda mrefu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka km chizi yaan
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka km chizi yaan