Ambiente Guru
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 2,596
- 1,071
Sasa wengine ambao tumejipanga kuja fanya kazi (field) huko Mbeya na Makambako mwezi huu wa August sijui itakuwaje. Outdoor works may be difficult to implement. Tunashukuru sana mdau.
Wabunge wenu waongee na lowassa yeye ni mtaalamu wa ku-import mvua toka thailand.Sasa chukua hali ya hewa ya hapo ufananishe na Tabora. Utadhani Tbr imelaaniwa.
Sasa chukua hali ya hewa ya hapo ufananishe na Tabora. Utadhani Tbr imelaaniwa.