Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,728
- 2,259
Hapo ni maeneo ya kuelekea Kiwira Road nini au Makandana?
Katumba bwana,kwa mvua hiyo hata babarani nikifika nitakuwa chapachapa!
Hivi mzee Rauben Kabigi yupo? Wapi kilabu cha TUPENDANE? Makandana nakupenda kwa moyo woteeee!Hahaaaaaa..umenikumbusha kwa bibi yangu hapo makandana....nyuma ya kwa mzee kabigi...pumzika kwa amani bibi yangu angabile aka mama zena
Duuuh RIP. Missing home so much.Mzee kabigi alifariki miaka mitano na zaidi imepita
Kwa mvua hiyo unakinga kichwa tu.halafu uwe haujalima, halafu ulie njaa wakati wa kiangazi......! tafuta mwavuli UKANYWE BABA!