Mlendamboga
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 668
- 347
Katika siku za hivi karibuni kumekuwepo utaratibu wa kurejesha mgao wa umeme kiaina, hali imeendelea kuwa mbaya siku hadi siku.Jana ofisi za serikali hasa zenye kutumia kompyuta zile zisizokuwa na standby generator imekuwa shida. Leo tena tangu saa 12 jioni gizani mwendo mdundo hii nini? Nazungumzia mkoa wa Mbeya, sijui mikoa mingine