Hii Haina Tofauti Na wanayotufanyia Mafisadi...

Hii Haina Tofauti Na wanayotufanyia Mafisadi...

Katavi

Platinum Member
Joined
Aug 31, 2009
Posts
42,099
Reaction score
12,928
Huyu jamaa anawakatili kweli hawa watoto.

Ni kama vile viongozi wetu wanavyotumia rasilimali zetu kwa fujo...
 

Attachments

  • chakula.jpg
    chakula.jpg
    68.6 KB · Views: 231
Ona jamaa lilivyowakanyaga watoto mikono..

attachment.php
 
Kweli hii ni picha inayooonyesha jinsi viongozi wenu wanavyotufanyia, ebu ipelekeni mbali zaidi waone wanavyotuonea. Nauli ya dala dala mtihani lakini wenyewe wanabugia tu.
 
Hahahahaha ashibe yeye kwanza
 
Ndo hali halisi ya viongozi walio madarakani wanakula kila kitu wakati sisi wamekanyaga mikono yetu tusipate lolote
 
Yani wanakula nchi huku wanatupa maumivu, hata Gadafi alivumilika wananchi wakachoka! Ipo siku
 
Yani wanakula nchi huku wanatupa maumivu, hata Gadafi alivumilika wananchi wakachoka! Ipo siku

Siku ndio sasa, imeshafika hatua ambayo uvumilivu umefika mwisho..
 
Hawa ni kama kenge, kenge huwa hasikii mpaka atoke damu. Cha msingi tuanze kwa slogans kusambaza idea kwa wananchi
 
Hao watoto anaowanyanyasa hivi, wakikuwa watakuwa wabaya kuliko yeye mara mia, na wanaweza hata kumuua uzeeni. Tujifunze kuwajali wengine.
 
Hiyo ni tafsiri tosha kwa nchi yetu iliyosetiwa na kuelea angani. Mwenye nazi kichwani anajaribu kuruhusu dowans ilipwe halafu anasikilizia wananchi wanasemaje
 
Back
Top Bottom