Hii game ya CHAUMA ni kichekesho mtaani

Hii game ya CHAUMA ni kichekesho mtaani

Haya mabonanza na mazingaombwe ya pembeni mimi hayanipi shida sana.
Nasubiri tu kusikia ya huko ndani ya CCM yenyewe; kukubali kutumiwa na genge lisilokuwa na akili namna hii kuvuruga kila sifa iliyo kwisha patikana kuhusu chama hiki.

Nasubiri kwa hamu sana.
 
Hii game ya CHAUMA ni kichekesho mtaani. Leo nimemuona diwani wangu wa zamani naona kucheka tu.

Hawa wasidhani watanzania ni wajinga. Nipo na watu tunaangalia taarifa ya habari kwa kweli watu wanaishia kucheka tu hizi commedy.

Kukiwa na uchaguzi huru na haki baada ya kupokea hawa vibaraka mzee Rungwe angepata kura yake na mwanae tu.

#No reforms No election
Kama ni kichekesho mbona haicheki Sasa kamanda wa chadema chakavu?!!!! Ninachiona na kukisikia ni sura na sauti iliyojaa hofu🥱🥱🥱
 
Kukiwa na uchaguzi huru na haki baada ya kupokea hawa vibaraka mzee Rungwe angepata kura yake na mwanae tu.
Tatizo hakuna huo uchaguzi huru na haki hapo. Hivyo jiandaye kutungiwa sheri na hao hao vituko
 
Hii game ya CHAUMA ni kichekesho mtaani. Leo nimemuona diwani wangu wa zamani naona kucheka tu.

Hawa wasidhani watanzania ni wajinga. Nipo na watu tunaangalia taarifa ya habari kwa kweli watu wanaishia kucheka tu hizi commedy.

Kukiwa na uchaguzi huru na haki baada ya kupokea hawa vibaraka mzee Rungwe angepata kura yake na mwanae tu.

#No reforms No election
Usiwabeze mkuu ngoja waanze kuzunguka na chopa ndo utajua watanzania wanafiki na hawajielewi
 
Labda ungejikita kuzungumzia yenu ya chadema chakavu; hayo ya CHAUMA tuachie sisi wananchi tuamue kama tulivyoamua kuhusu nyie. Kwani shida yenu nini'?!!! Nyie si mmesema mpo na wananchi wote?
Kama mliamua ya CHADEMA hata ya Chaumma yatajadiliwa Kwa musatakabali wa Siasa zetu.
 
Chairman kashasema watoto wale washibe. (WWW) ama ukipenda ita 'Tripo Wi' 😂😂
 
Chadema ina legacy yake yote yatapita ila neno Chadema litabaki bila kujalisha ina ongozwa nani kwa wakati huo
 
Labda ungejikita kuzungumzia yenu ya chadema chakavu; hayo ya CHAUMA tuachie sisi wananchi tuamue kama tulivyoamua kuhusu nyie. Kwani shida yenu nini'?!!! Nyie si mmesema mpo na wananchi wote?
Wananchi au ccm,mmepanik gemu yenu imebuka na pesa mshapigwa.
 
Hii game ya CHAUMA ni kichekesho mtaani. Leo nimemuona diwani wangu wa zamani naona kucheka tu.

Hawa wasidhani watanzania ni wajinga. Nipo na watu tunaangalia taarifa ya habari kwa kweli watu wanaishia kucheka tu hizi commedy.

Kukiwa na uchaguzi huru na haki baada ya kupokea hawa vibaraka mzee Rungwe angepata kura yake na mwanae tu.

#No reforms No election
Tatizo ni madalali wa Siasa Mbowe anataka pesa za kujikimu na makala anataka pesa, huo Muungano wa Udalali haramu wa kishetani ndiyo umezaa hivyo vioja vy,a leo , pesa za walipa kodi kutumika kuwanunua G55 kwenda Chaumaccm ni matumizi mabaya ya pesa za umma
 
Nyie kwl ni waajabu, chama kinakufa bd mtu haelewi anashangaa. Ndio wameshaondoka hivyo
Kukariri kuwa chadema itakufa kwa kumweka mwenyekiti jela kisha kutumia mabilioni ya walipa kodi kuwanunua G55 kuwapeleka Chaumaccm chama cha uvunguni mwa ccm
 
Hii game ya CHAUMA ni kichekesho mtaani. Leo nimemuona diwani wangu wa zamani naona kucheka tu.

Hawa wasidhani watanzania ni wajinga. Nipo na watu tunaangalia taarifa ya habari kwa kweli watu wanaishia kucheka tu hizi commedy.

Kukiwa na uchaguzi huru na haki baada ya kupokea hawa vibaraka mzee Rungwe angepata kura yake na mwanae tu.

#No reforms No election
Ni kweli baadhi ya watanzania ni wajinga. Wewe unawezaje kuwa mfuasi wa Braza K Mapovu?
 
Wananchi au ccm,mmepanik gemu yenu imebuka na pesa mshapigwa.
Dili la makala na mbowe siyo Siri tena kila mmoja anajua ufisadi ufujaji pesa za walipa kodo uliotumika kuwanunua G55 kuwapeleka Chaumaccm tawi la kienjeji la ccm
 
Haya mabonanza na mazingaombwe ya pembeni mimi hayanipi shida sana.
Nasubiri tu kusikia ya huko ndani ya CCM yenyewe; kukubali kutumiwa na genge lisilokuwa na akili namna hii kuvuruga kila sifa iliyo kwisha patikana kuhusu chama hiki.

Nasubiri kwa hamu sana.
Njaa ni mbaya sana, Kikundi cha wajinga ndani ya ccm makao makuu kikiongozwa na makala ambaye IQ yake ni ndogo sana kilikaa na kubuni mradi haramu wa kula pesa yaani cha juu, wakamchochea mama amkamate Lisu kwanza akiwa ndani wapate kisingizio cha kuomba pesa za kuudhofisha chadema, njama zao zimetimia baada ya kumshirikisha Mbowe na sasa wanakula mabilioni ya walipa kodi kwa kazi haramu za kishetani
 
Kama ni FairPlay iweje ccm wafadhili ujinga wakati lisu yupo jela? Si wasubiri atoke jela?
 
Back
Top Bottom